The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
-
- #41
Swahiba ni kweli lakini pia tukiangalia upande wa pili je hizo hela unazitumia kwa manufaa ya mahusiano yenu wawili au ndio mtu unaenda kubeba vidumu vingine huko nje..Habari yako swaiba,cjui km nahusika but nakubaliana nawe but ili kufanikisha yote hayo hela lzm nayo ina nafac yake as ujuavo tukibase kwenye ukweli mapnz bila pesa japo kwa ajili ya kukamilisha mambo muhimu hayafiki mbali achilia mbali kudumu!
Enzi zenu ndio zipi hizo...maana hapa karibia kila mtu naona anasema enzi zetu..enzi zetu...lolhaya ya kisasa zaidi
enzi zetu, tulikuwa tunajali kama ada za watoto zimelipwa na we have a roof.
She knows..how do u support her?
No man can satisfy a woman simply by WHAT HE DOES FOR HER. He fulfills her by allowing, motivating, and supporting her to be everything that SHE has a capacity and potential to be. In other words, he fulfills her when, SHE DOES FOR HERSELF.
That may mean he may sometimes has to support and push her to the point where she begins to wonder why he believes in her even more than she believes in herself...to the point where he pushes her out of her comfort zones and limits. When she begins to succeed, when she begins to positively impact and affect the lives of others and pursue her passions, she then truly begins to grow from having satisfaction in her "relationship", to the realm of getting satisfaction out of "LIFE".
The problem we men have especially African men, is that we are afraid to build up and invest in our ladies. Society has trained us that part of what defines us as men..is our ability to do better than our wives so we can "provide" for them.
The problem is that society is failing to teach us that the definition of provision has changed, so as it relates to our women, many women today can provide for themselves better than we men could, they are really a means to the destination of her sense of fulfillment as a person.
IT'S NOT THE BIG THINGS WE DO "ONCE IN A WHILE" THAT KEEP A RELATIONSHIP GOING. IT'S THE LITTLE THINGS WE DO "ALL THE TIME" THAT DO.
husna.. Nakupendaghaaaa...
She knows..
Yap irudie tena kuisoma mkuu again and again...Mkuu, hii thesis yako naona kama ina contradictions. Ngoja nirudie tena kuisoma!
The problem is that society is failing to teach us that the definition of provision has changed, so as it relates to our women, many women today can provide for themselves better than we men could, they are really a means to the destination of her sense of fulfillment as a person.
Hahahaha!!! Something spontaneousyeye anajua ila sisi hatujui na tungependa kujifunza kutoka kwako. Hebu funguka basi, uache majibu ya mkato.
:israel::israel::israel:Haya majournals mnayapatiaga wapi?:eyebrows:
Hahahaha!!! Something spontaneous
SMU wewe unanichekesha unalaumu halafu unakiri ya kuwa hujaielewa na yabidi uisome upya.................kama bado hajaipatapata mada yenyewe ni vyema ukwa mzito kuikosoa.........
Dogo hebu jaribu kuainisha hayo mapungufu...we ndio hujamuelewa SMU.
1.Hii topic naona kama ina mapungufu.
2. Hii topic ina mapungufu.
Hizo statements mbili zinaweza onekana sawa ila ni tofauti.
Mkuu, hii thesis yako naona kama ina contradictions. Ngoja nirudie tena kuisoma!
Allowing your wife/girlfriend/fiance go after her dreams, be her support, watch her back and encourage her to step out of her comfort zone let her chase her dreams and let her know everything is possible if she put her mind to it but all always make her understand how much you need to respect each other..labda kwa upande wako ni hivyo. Naomba uongelee kwa ujumla, ni namna gani wanaume wanaweza support wapenzi wao (usiniambie habari za spontaneous hapo. Lol).
Pia hiyo support ni katika mambo yapi?
How??...Nami naona eti.