Mr Prezidaa
Mwanamke yeyote unayeweza kumtongoza chap chap na kwenda nae kitandani within 5 minutes ni MALAYA!
Mr Prezidaa
Mwanamke yeyote unayeweza kumtongoza chap chap na kwenda nae kitandani within 5 minutes ni MALAYA!
Rev Masa & Kashaijabutege (hili jina ni la Ichwandimi)!
Nimewakubali: Kama baada ya dakika tano mnaondoka na mzigo siwezi kuwakaribisha mtaani kwangu huku Gongo La Mboto maana itakuwa hatari! DK 5 done!???
Rev Masa & Kashaijabutege (hili jina ni la Ichwandimi)!
Nimewakubali: Kama baada ya dakika tano mnaondoka na mzigo siwezi kuwakaribisha mtaani kwangu huku Gongo La Mboto maana itakuwa hatari! DK 5 done!???
what a rubish, anoavyo nafsini mwake ndivyo alivyo! hivi wewe unawaza tuu sex? huna mchango mzuri wa mmawazo namna ya kututoa watnzania kwenye umaskini? unatuambia namna ya kutongoza? umekufa, a walking corpse! sorry for such strong language!!!
watu mna mambo hakuna mwanamke wa hivyo ila ukimpata kwa stahili hiyo ujue na yeye alikua anakulia timing sku nyingi so arembe achekwe?
Kwenye RED hapo , muhakikishie kuwa utampa MOYO wako wote, wewe utatumia FIGO kupampu damu.
Hahahahahahahhahahah kiheerehere bana. Ila bora hii kuliko hiyo ya kuahidi kuwa naye milele maana mara nyingi inasababisha zile kesi kama aliyoileta sijui nani yule..............kuwa jamaa kasepa after kubanjua then dada akaamua kujenga uadui.Kwenye RED hapo , muhakikishie kuwa utampa MOYO wako wote, wewe utatumia FIGO kupampu damu.
Simpendi mwanaume unayetanguliza ngono wakati unatongoza.
Mwanamke anayejiheshimu akiona upo kingono zaidi atakuwa anakukwepa.
Habari ya babu anamtaka bibi.....mmmh,
hivi kwa hali ilivyo leo kuna hata haja ya wanaume kufundishana jinsi ya kumseduce mwanamke!maana wanawake wenyewe wa kileo wanajiseducisha.kaazi kwei kwei.
watu mna mambo hakuna mwanamke wa hivyo ila ukimpata kwa stahili hiyo ujue na yeye alikua anakulia timing sku nyingi so arembe achekwe?
Hahahahahahahhahahah kiheerehere bana. Ila bora hii kuliko hiyo ya kuahidi kuwa naye milele maana mara nyingi inasababisha zile kesi kama aliyoileta sijui nani yule..............kuwa jamaa kasepa after kubanjua then dada akaamua kujenga uadui.
Usiijaribu kwangu..... utasign contract ati. Yaani unambie tu kwa mdomo kuwa utakuwa nami milele afu nikuamini?.....Ntakushikaje shati??
Mmh! Haya bana7. use strong body language techniques, kwamba babu ana mtaka bibi,
Yote hayo yanatokea ndani ya dakika 5!
kweli dakika tano za kizazi hichi ni ndefu mno