How to Send a Psychic Message

Hii kitu inahusisha sana sense ya sita...kuna watu automatically wako hivyo tayari lakini kuna wengine hupractice na kufanikiwa
Kwa wakati mmoja huitwa kama mawasiliano ya kiroho

mi naona mshanajr ni kunisaidia kuopen sixth sense kwanza afu hiyo telepath itajipa yenyewe tuuu....
Cc: aretasludovick, Jimena
 
Last edited by a moderator:
mi naona mshanajr ni kunisaidia kuopen sixth sense kwanza afu hiyo telepath itajipa yenyewe tuuu....
Cc: aretasludovick, Jimena

Fuata hizi basics
1.uwe na ratiba moja kwenye kila kitu yani ufanye kitu kile kile kwa muda ule ule kila siku
2 . uwe na kipimo kimoja kwenye milo yako yote bila kujali utamu na uzuri wa chakula
Jaribu haya mawili kwanza ukiweza tutaendea
 
Last edited by a moderator:
Fuata hizi basics
1.uwe na ratiba moja kwenye kila kitu yani ufanye kitu kile kile kwa muda ule ule kila siku
2 . uwe na kipimo kimoja kwenye milo yako yote bila kujali utamu na uzuri wa chakula
Jaribu haya mawili kwanza ukiweza tutaendea

ndio maana nilishindwa... .. .maana hizi basic za mwanzo tu kuziweza inahitaji miezi miwili,,, kwani mshanajr hakuna basic nyingine nyepes kuliko hizo?
ila aretasludovick najua haya mambo unayajua... .. .sasa fanyafanya kunipa simple way.
 
Last edited by a moderator:
ndio maana nilishindwa... .. .maana hizi basic za mwanzo tu kuziweza inahitaji miezi miwili,,, kwani mshanajr hakuna basic nyingine nyepes kuliko hizo?
ila aretasludovick najua haya mambo unayajua... .. .sasa fanyafanya kunipa simple way.

Njia rahisi ni ya ushirikina utaweza?
 
Last edited by a moderator:
Hapana hataweza. (Sipendi kumpoteza my brother from another mother)

Kwanza hakuna shortcut katika kutafuta mafanikio

Practise ndo suluhisho.

ngoja nijaribu practice kwanza afu nione itakuaje...
 
ndio maana nilishindwa... .. .maana hizi basic za mwanzo tu kuziweza inahitaji miezi miwili,,, kwani mshanajr hakuna basic nyingine nyepes kuliko hizo?
ila aretasludovick najua haya mambo unayajua... .. .sasa fanyafanya kunipa simple way.

Hapana mkuu siyawezi.
Ila nakushauri ukifanya ufanye kweli na sio kujaribu.
 
Last edited by a moderator:
nafkiri ulionwa ila weng elimu hii hawaitambui. mfano mi mwenyew elimu hii nngeiona 2013 nngeona ni madudu tu. ila leo hii najitambua post kama hii naiona ina maana mkuu.

duh! ina maana 2013 haukuwa unajitambua?
 
duh! ina maana 2013 haukuwa unajitambua?

yeah nlikua cjajitambua ktk issue za kiroho za dizain hii. NOTE: kuna kujtambua ktk mambo meng. Tatizo we hujagundua kujtambua nnakoongelea ndo maana umeduwaa.
 
sasa tuchezeni mchezo wa ajabu, yeyote anitumie Psychic
Message halafu ntaiandka hapa. 1,2,3 twendeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…