BUFALO
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 300
- 272
salaam wakuu. Nina dogo anakaribia 2
Anasumbuliwa sana na hilo swala nimejaribu kutafti kwenye website flani za afya wameshauri
1.Masturbtion na
2. To have sex mara kwa mara.
Kwa mm vyote no 1 na 2 hapana.
Sipendi ajihusishe na mapenz wala hiyo no1.
Nakaribisha ushauri niweze kumsaidia asiwe na mfadhaiko wa mara kwa mara inapomtokea.
Ahsanteni
Anasumbuliwa sana na hilo swala nimejaribu kutafti kwenye website flani za afya wameshauri
1.Masturbtion na
2. To have sex mara kwa mara.
Kwa mm vyote no 1 na 2 hapana.
Sipendi ajihusishe na mapenz wala hiyo no1.
Nakaribisha ushauri niweze kumsaidia asiwe na mfadhaiko wa mara kwa mara inapomtokea.
Ahsanteni