How to Trace Stolen Voda Moderm??

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,615
Reaction score
545
Habari wana Jf, Nimelizwa computer na Moderm ya Vodacom, kuna jinsi yoyote ya kutrace moderm kwa kutumia IMEI au SERIAL ujue inatumika wapi? nimejaribu kupiga Voda customer care sijapata msaada wowote, nitashukuru sana kwa mawazo yenu
 
pole sana kamanda...but kama voda wenyewe wameshindwa sidhani kama inawezekana...but heb tuckilize wataalam wetu humu kama wataweza kukusaidia.
 
mi naamini inawezekaza. ngoja tuingie chimbo.
 
Habari wana Jf, Nimelizwa computer na Moderm ya Vodacom, kuna jinsi yoyote ya kutrace moderm kwa kutumia IMEI au SERIAL ujue inatumika wapi? nimejaribu kupiga Voda customer care sijapata msaada wowote, nitashukuru sana kwa mawazo yenu
Pole sana mkuu...wiki mbili zilizo pita niliibiwa modem ya Airtel...nikaenda ofisi kwao wakasema hawawezi kui-trace...niliambulia line tu...Tanzania bado sana kwenye haya mambo ya Technology, kama tuna shindwa ku-trace kitu kama modem au simu sijui tunaweza nini...
 
Voda ndo wangeweza kutrack au kuidisable. Kwa kuwa imeshaibiwa hakuna la kufanya, lakini ungeinstall software ya kutrack kabla kungekuwa na chance.
 
Voda ndo wangeweza kutrack au kuidisable. Kwa kuwa imeshaibiwa hakuna la kufanya, lakini ungeinstall software ya kutrack kabla kungekuwa na chance.

kwenye simu yangu ya nokia nime-install anti-theft application ambapo naweza ku-trace simu yangu mwenyewe bila kuhusisha mtandao wa simu! Tembelea Ovi Store (www.ovi.com kama sikosei) upate hiyo kitu!
 
Mkuu pole sana! Voda wanaona wakati hiyo modem inapokuwa inatumika na pia ipo eneo gani.lakini wambie waifunge imei yake(waiblacklist) so modem aitoweza kupata network.but you have to report this IMEI kwa tigo,Airtel yaani ni usumbufu.
Mpaka TCRA wafunge CEIR (central Equipment Identity register) ndo ingeweza kuwa raisi kwani CEIR ikiblacklist imei inakuwa ipo locked mitandao yote apa Tanzania.
 
kwenye simu yangu ya nokia nime-install anti-theft application ambapo naweza ku-trace simu yangu mwenyewe bila kuhusisha mtandao wa simu! Tembelea Ovi Store (www.ovi.com kama sikosei) upate hiyo kitu!

Ndo maana nimesema its too late now.
 
Voda ndo wangeweza kutrack au kuidisable. Kwa kuwa imeshaibiwa hakuna la kufanya, lakini ungeinstall software ya kutrack kabla kungekuwa na chance.

Nimefarijika na maelezo yako, Je unayo hy software ya ku-track ili iwe msaada hpo baadae inapotokea mtu ameibiwa simu au modem? Ntashukuru kwa msaada!
 
Voda ndo wangeweza kutrack au kuidisable. Kwa kuwa imeshaibiwa hakuna la kufanya, lakini ungeinstall software ya kutrack kabla kungekuwa na chance.

hiyo application inaweza kutumika kwenye computer?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…