low thinking capacityKila kifo kina maumivu yake sasa jaribu kufa afu uone huwaga kuna nini ndani yake
Alafu arudi atupe mrejesho au vepe? 😎Kila kifo kina maumivu yake sasa jaribu kufa afu uone huwaga kuna nini ndani yake
HB? Una hela?.....kama ni handsome boy bila mavumba hata ukifukiwa no body cares[emoji23] [emoji23] [emoji23] ( joke)mm siogopi kufa. naogopa kuzikwa tu eti Na u HB wangu wote huu niozee aah wapii banaa
Kwani wewe unapenda mwenye ela au HB?HB? Una hela?.....kama ni handsome boy bila mavumba hata ukifukiwa no body cares[emoji23] [emoji23] [emoji23] ( joke)
Hii nzuri mkuu, population imekuwa kubwa sana! Kifo chema brooNatamani kufa hata kesho
Asee mi mwanaume mzuri hapana...Kwani wewe unapenda mwenye ela au HB?
Ghosh! Umekata tamaa hivyo? What's wrong mbona dunia tamu my?Natamani kufa hata kesho
Naona wanaokufa hawana stress,Ghosh! Umekata tamaa hivyo? What's wrong mbona dunia tamu my?
hahaa shida hapo sasa hela bado zinapiga Chenga. Ila watasema marehem alikua HBHB? Una hela?.....kama ni handsome boy bila mavumba hata ukifukiwa no body cares[emoji23] [emoji23] [emoji23] ( joke)
Mmmh..siku hizi hawasemi...ni hela tu inayotrend mwanzo mwisho[emoji23]hahaa shida hapo sasa hela bado zinapiga Chenga. Ila watasema marehem alikua HB
Hawana stress? Kifo kinaogopesha bana, sababu hakuna aliyevuta afuu akarudi angalau akatutia moyo basi[emoji15] .....hapo ndo panapoogopesha!Naona wanaokufa hawana stress,
Sasa dunia hii ya furaha ya muda mfupi sio kabisaa