Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
- Thread starter
-
- #61
Nimeku PM kaka .Tatizo gear lever ngumu kwa sababu inatumia mfumo wa cable tofauti na scania inatumia upepo (valve) halafu accelerater pedal ni ngumu tofauti na scania unagusa tu
Nahitaji kununua scania yenye Horse power ngapi please Kwa wanaojua please.Tatizo gear lever ngumu kwa sababu inatumia mfumo wa cable tofauti na scania inatumia upepo (valve) halafu accelerater pedal ni ngumu tofauti na scania unagusa tu
Asante mkuu .Kabla hujanunua tractor angalia kwanza unataka kutumia mazingira yapi hizo horse power si solution ya kukufanya ukimbilie kununua gari wengi wanasema Howo sababu moja tu inakuja mpya na ni 6x4 so kwenye rough road inafanya kazi vizuri kama tope au mchanga matajiri wengi wa kitanzia wananunua scania man volvo na brand nyingine za ulaya ambazo ni ex Uk zinakuja hapa tanzania na 6x2 ukichukua hizi gari mbili kwenye mazingira ya kitanzania lazima uone howo ipo ahead kama unataka ku enjoy brand za ulaya iveco scania man benz volvo ziwe ni 6x4 yaan nyuma difu zote mbili zinavuta ndiyo ufananishe na huyo howo. Gari za kchina zinafanya wengi wawe wagumba vina vibrate sana kama unaendesha tractor [emoji609].
Ukitaka ku enjoy nunua scania ex south ambazo ni 6x4 ingawa sijui unataka ifanye kazi mazingira yapi
Ningekuwa wewe ningeenda na scania mninga 113 360/380 spea zake mpaka sokoni unapata. Inakula vizur mafutaAsante mkuu .
Ni kusafirisha conteiner za feet 20 na 40 feet mkuu ,only Dar to Arusha kaka ..
Hazipo tena kwenye Soko UK broo nimetafuta hamnaga tena kakaNingekuwa wewe ningeenda na scania mninga 113 360/380 spea zake mpaka sokoni unapata. Inakula vizur mafuta
Wengi hawajui kuwa Howo alimuiga hapa msweden akakopi vingine vimemshinda
kitu cha S.Africa hicho..
Upande wa nguvu achana kabisa na wachina hakuna sehemu scania itapita howo ikwame, scanía inabaki kuwa bora kwenye durability, comfortability, etcHivi hizi HOWO zina nguvu ya kuvuta mzigo kweli au madereva wake huwa wanafanya mapozi wakati wanapanda milima ?maana huwa nazipita kama zimesimama barabarani...
Wewe SINOTRUCK inayozalisha malori ya Howo ni patnership ya nnchi za EU pamoja na China. Gari inatengenezwa kwa viwango vya kimataifa ndio gari no. Moja kwa ubora sasa.scania ndio truck ya pili qa kua na nguvu na bora ikiwa nyuma ya volvo ss unafananisha takataka howo na scania...
Mkuu watu wanalinganisha vitu kwa macho bila kujua wanalinganisha nini ndo tatizo letu, usishangae akija kukwambia VOLVO FM 12 380hp ni zaidi ya scania yenye 420hpsijaelewa unavosema ya pili kwa nguvu...
nguvu inatokana na horse power bhana mfano scania 143 hp450 huwezi fananisha na volvo hp 360
Gari za china zinatumia Cummins au Weichai engines....cummins engine is American brand so iko vinzuri. Sina uhakika na transmission/gear boxes
Mngetufundisha nini maana ya Cummins please.Hata Scania, Foden, Man, Caterpillar zinatumia Cummins. Ila Scania iko more comfortable kuliko Howo.
Matajiri wanazipenda kwa kubana mafuta na yrahusi wa beiHivi hizi HOWO zina nguvu ya kuvuta mzigo kweli au madereva wake huwa wanafanya mapozi wakati wanapanda milima ?maana huwa nazipita kama zimesimama barabarani...
Wewe SINOTRUCK inayozalisha malori ya Howo ni patnership ya nnchi za EU pamoja na China. Gari inatengenezwa kwa viwango vya kimataifa ndio gari no. Moja kwa ubora sasa.
hata mm natamani kujua nini maana cummins maana naoma YUTONG HIGER ZHONG TONG na baadhi ya scania zina engine hizoMngetufundisha nini maana ya Cummins please.
Hapo umechemka mkuu scania ina miaka mingapi nchini?Ok mkuu Nimekuelewa, Ni Scania ngapi umeshaona ziko juu ya mawe na Howo ngapi umeshaziona ziko juu ya mawe ?
SCANIA :JUU YA MAWE NYINGI
HOWO : JUU YA MAWE HAMNA KABISA .
MKUU ELEWA IT IS IMPOSSIBLE KUNUNUA KICHWA CHA SCANIA MPYA
LAKINI UWEZO WA KUNUNUA KICHWA CHA HOWO UPO KABISA NA UNAPATA WARRANTY MIAKA 4 ,SCANIA USED MKUU HAINA WARRANTY IKIFA NA KWISHA HABARI YAKO ,WARRANTY MIAKA 4 SI UMESHARUDISHA HELA YAKO MAN .Ni wazo tuu .
Asante Kwa taarifa mkuu ,have a good day,Kama kuna MTU amewahi nenda ngaka Mbinga wanakochimba makaa ya mawe, utaona tipper za howo zilizopaki mbovu no nyingi kuliko gari yoyote ile, na wamehama kuzitumia wameanza kutumia fuso na scania
Benzi kama NdegeHello Great Thinkers.
Naomba kuuliza hivi hizi Tractor za kuvuta trailers Ni ipi bora zaidi kati ya hizi za kichina HOWO na Scania ,Ndio Naomba mungu mwaka huu ninunue kichwa kimoja kati ya hizi mbili ,ndio naanza hii biashara GT.Thanks a lot you guys.