Huko mitandaoni kuna Pepa la Hoyce Temu kutoka UN, Watasha wameropoka mbaya, Nimeliona kwa Mange kimambi na kwa @tzshadeeroom_backup inasemekana mwakilishi wetu huko Geneva alikua anazipiga sana chapaa za UN na alikuwa anatumia vyeo vya watu kupenya na kupiga mpunga.
Yaani kwenye pepa ametajwa mdogo wake yule mtukanaji.
Dah UN wamemwaga ugali halafu huku sis ndio tumempa mboga apeleke huko Geneva kutuwakilisha kwa UN. Sasa sijui itakuaje?
Yaani kwenye pepa ametajwa mdogo wake yule mtukanaji.
Dah UN wamemwaga ugali halafu huku sis ndio tumempa mboga apeleke huko Geneva kutuwakilisha kwa UN. Sasa sijui itakuaje?