Naomba kujuzwa mbona specs ni za DESKTOP ? ?
Naomba kujuzwa mbona specs ni za DESKTOP ? ?
Sio kweli sema tu pesa ulonayo muelewan kwa specs hizo kama haina tatizo ni bei nafuu na sawa pia kwa USEDBei yako mbona ipo juu sana mkuu?
Chukua namba 0777039477 hifadhi mitambo ipo ya kutosha kabisa ni ww tu ukiwa okaymkuu august nitahitaji mtambo kama huu. naamini hii itakuwa imeuzwa. tuwasiliane.
note: hdd isiwe chini ya tb 1 na lau ram 8+ na number keys za pembeni (pale kulia)
Ninayo kama hii njoo uchukue bureIngekuwa touch screen ningeinunua sasa hivi. Kwa hiyo nikupe 400,000 sasa hivi?
we bibi usipende vya bure utakuja kuolewa cheee[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Ingekuwa touch screen ningeinunua sasa hivi. Kwa hiyo nikupe 400,000 sasa hivi?
Za bure mbona nyingi sana. Hazina hadhi.Ninayo kama hii njoo uchukue bure
400,000 offer yangu.we bibi usipende vya bure utakuja kuolewa cheee[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Kama hiiZa bure mbona nyingi sana. Hazina hadhi.
Bure ghali.
[emoji23][emoji23] bibi weee400,000 offer yangu.
Unauza wewe?
Ninayo kama hii njoo uchukue bure
Hapana.. ..Nampenda tu Bi Faizahahaa uwiii utakuwa wakala wa TELEZA wewe
Zaidi ya hiyo.Kama hii