300,000/-
Laki 1, Laki 2, Laki 3! Ahueni kipindi hicho niliwahi kumkamata mkulima fulani hivi huko kijijini PC ya aina hii, na ikiwa pia imekufa betri! kwa laki 2!300,000/-
Yaani anamaanisha uuze kopo kwa laki 3. In short anakuona kituko. Acha tamaa uza kama parts, I mean 150kSijaelewa kitu unachojaribu kusema, kuniambia
OK mkuu kila LA kheri.Of couse bei inapungua lakini sio bei ya kopo. Hilo sio kopo, hiyo ni PC inayofanya kazi fresh. Kwanza ni slim na ya kisasa sio yale matofali yaliyojaa kariakoo.