nicheki mkuu namba hizo juu! bei maelewano tu!Bei gani unauza
Charge kwa masaa matatu! Then kuhusu bei, unaeza nicheki kwa simu tukazungumza tu! hakunaga bei kubwa wala ndogo ni maelewano tu mkuu!Battery inakaa na charge kwa muda gani, kisha taja bei tujipime
ThanksCharge kwa masaa matatu! Then kuhusu bei, unaeza nicheki kwa simu tukazungumza tu! hakunaga bei kubwa wala ndogo ni maelewano tu mkuu!
Mi nataka kioo na housing yake tu.Mm nataka hard disk yake tu mkuu
Daah! mkuu hapo sasa utakuwa hunitakii mema! nikikupa hard disk hivi vingine tunafanyia nini?! πππππMm nataka hard disk yake tu mkuu
nyi jamaa noma sana! hahaha! πMi nataka kioo na housing yake tu.
Unaeza kufanya mawasiliano mkuu! unajikatisha tamaa mapema sana!πNia ya kununua ninayo ila umbali ni tatizo.
Taja bei mkuu wengine hatuna dk wala messageUnaeza kufanya mawasiliano mkuu! unajikatisha tamaa mapema sana!π
Ukikijubu unitagiTaja bei mkuu wengine hatuna dk wala message
Laki 3 unachukua?
Nicheki tunaeza kuzungumza!Taja bei mkuu wengine hatuna dk wala message
Laki 3 unachukua?