U usain 10 Member Joined Oct 26, 2013 Posts 8 Reaction score 1 Feb 27, 2014 #1 Kama kuna mwenye taarifa kuhusu wale walio appeal atuambie ule mchakato wa kuappeal umefikia wapi maisha ya chuo bila mkopo ni magumu sana
Kama kuna mwenye taarifa kuhusu wale walio appeal atuambie ule mchakato wa kuappeal umefikia wapi maisha ya chuo bila mkopo ni magumu sana
GreatMkubwa Member Joined Jun 25, 2012 Posts 99 Reaction score 57 Feb 27, 2014 #2 Hivi vyuo vikuu skuiz wasomi ni Div 5 tuuu... Bodi y mikopo inaitwa HESLB sio hio yako 😡
Giha Member Joined Feb 17, 2013 Posts 20 Reaction score 2 Feb 27, 2014 #3 Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
Giha Member Joined Feb 17, 2013 Posts 20 Reaction score 2 Feb 27, 2014 #4 Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
ledman Senior Member Joined Feb 6, 2014 Posts 103 Reaction score 7 Feb 27, 2014 #5 GreatMkubwa said: Hivi vyuo vikuu skuiz wasomi ni Div 5 tuuu... Bodi y mikopo inaitwa HESLB sio hio yako 😡 Click to expand... Duh ahsante kwa kuliona hilo mana mi mwenyewe nilikua natafakari hicho alichokiandika ni nini
GreatMkubwa said: Hivi vyuo vikuu skuiz wasomi ni Div 5 tuuu... Bodi y mikopo inaitwa HESLB sio hio yako 😡 Click to expand... Duh ahsante kwa kuliona hilo mana mi mwenyewe nilikua natafakari hicho alichokiandika ni nini