Hsebl tukumbukeni tulio appeal jamani

Hsebl tukumbukeni tulio appeal jamani

usain 10

Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
8
Reaction score
1
Kama kuna mwenye taarifa kuhusu wale walio appeal atuambie ule mchakato wa kuappeal umefikia wapi maisha ya chuo bila mkopo ni magumu sana
 
Hivi vyuo vikuu skuiz wasomi ni Div 5 tuuu...
Bodi y mikopo inaitwa HESLB sio hio yako 😡
 
Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
 
Dah mm ndio nimekata tamaa kabisa nao mwaka huu , wanaringa utadhani hizo hela wanatoa mifukoni mwao , wanataka hadi tuwapigie magoti ha!
 
Hivi vyuo vikuu skuiz wasomi ni Div 5 tuuu...
Bodi y mikopo inaitwa HESLB sio hio yako 😡

Duh ahsante kwa kuliona hilo mana mi mwenyewe nilikua natafakari hicho alichokiandika ni nini
 
Back
Top Bottom