joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Acha ujinga. English is a universal language and you'll find it wherever you go. Mbona hamuwakebehi waganda na ndio wanaongoza afrika kwa kuzungumza kimombo? Mbona huwa mnaumwa sana kisa wakenya wanakizungumza? Ironically, you are criticizing while you are typing in it.
I am perfect in Kiswahili and English (and my local language). Your bigoted mind chose to notice only English?
Better Idiot than a slave, how are you my friend slave.You're stupid. I can't argue with an Idiot.
Lol.... How can someone say that using a certain language is slavery?
This is irreducible stupidity.
Lol.....Mimi huzungumza lugha yangu ya asili. Kimombo na kiswahili nilisoma shuleni. Pale nyie mnakosea ni kukashifu wakenya kisa wanazungumza kiingereza. Kama ni utumwa basi mnapaswa kutupa kila kitu ambacho kimetengenezwa na wazungu.Muache kutumia mitandao. Mkome kufunza kiingereza. Mng'oe reli mtupe baharini. Hata kutumia vitu vilivyotengenezwa na wachina ni utumwa!!! Tupeni simu na tarakilishi zenu bahari Hindi. Acheni kutumia barabara hizo zenu.Magari yote mchome au mtupe. Vueni nguo mbaki na suti ya kuzaliwa au mtumie majani kama mavazi. Kiufupi, get rid of everything that is not made in Tanzania. Epukeni utumwa kabisa!!!Dada Janerose unafeli..
Kuzungumza kutumia Kiingereza sio tatizo,tatizo ni pale a black man,an African ana take pride mbele ya Waafrika wenzio kudharau indigenous languages zetu hadharani kabisa!
Tumia Kiingereza kuwasiliana,ila sio unadharau lugha za kwenu hadharani namna hii...How can you take pride infront of your fellow blackmen that you have mastered your oppressor's language?How can you?
Lol.....Mimi huzungumza lugha yangu ya asili. Kimombo na kiswahili nilisoma shuleni. Pale nyie mnakosea ni kukashifu wakenya kisa wanazungumza kiingereza. Kama ni utumwa basi mnapaswa kutupa kila kitu ambacho kimetengenezwa na wazungu.Muache kutumia mitandao. Mkome kufunza kiingereza. Mng'oe reli mtupe baharini. Hata kutumia vitu vilivyotengenezwa na wachina ni utumwa!!! Tupeni simu na tarakilishi zenu bahari Hindi. Acheni kutumia barabara hizo zenu.Magari yote mchome au mtupe. Vueni nguo mbaki na suti ya kuzaliwa au mtumie majani kama mavazi. Kiufupi, get rid of everything that is not made in Tanzania. Epukeni utumwa kabisa!!!
Lol....this is nonsensical. Kiswahili is taught as a subject in Kenya. PRI.&Sec.Hili povu ni lakufungia mwaka, hongera sana. Umeelezwa tatizo la ninyi wakenya ni kutukuza kiingereza na kumuona kila asiyejua kiingereza hajaelimika au ni second class citizen.
Ninyi wakenya ni wapuuzi sana, mnadhani eti kujua kiingereza ndio kuendelea au ndio kuelimika, hata kusoma magazeti ya Kiswahili mnajisikia aibu mbele za watu. Tanzanian musicians ndio wanaosaidia kukifanya Kiswahili kuzidi kukubalika huko kwenu, before Bongo flava, Kiswahili kilikua kikidharaulika sana Kenya, hovyo kabisa ninyi.