moja ya madhara ya utandawazi hayo,
watoto waa sasa hawajui ile michezo tuliyokuwa tunaicheza sisi utotoni kama rede na mingine kutwa nzima wao na tv na hayo ndo matokeo yake
Jamani hiki ni kitu gani. Huyu mtoto na jamii inayomzunguka inatakiwa ikemewe kwa kuruhusu jambo hili tena ukizingatia akizungukwa na watoto wengine wakiangalia anayo yafanya hadharani.