Huawei & Chery waja na Luxeed S9 gari itakayo compete na Tesla Model Y

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu.

Tulioana juzi kati kwenye Malaysia Auto Show kampuni kutoka China Aion ambayo ni tawi la CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV gari linalofanana na Tesla Model X.

Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

Sasa vita bado haijaisha.

Kampuni la technology Huawei kwa kushirikiana na kampuni la magari Chery nao wamemletea Tesla Model Y mshindani wake, Luxeed S9.



Hii ni compact SUV itakayokua na battery options tatu (62kWh, 82kWh na 100kWh)! Na battery zote zinatoka kwa suppliers tofauti tofauti na zote zina technology tofauti tofauti.

Na bei za hizi EV zitakua na range kuanzia $42,000 hadi $55,000.

Vita vya EV vinaendelea.

Kwa walioisahau Tesla Model Y picha hii hapa:

 
Mbona kama wamecopy umbo na interior ya tesla kabisa ila wao wakashonea vitenge interior yake sijapenda hayo marangi. Huawei kampuni kubwa ingekuja na design unique si copy copy
 
Hapana mkuu. Lucid Air Sapphire ni mziki mnene. Hafu ni expensive kinoma, $250k.

View attachment 3011681

Marques Brownlee kwenye Auto Focus ameielezea vizuri kinoma.
Hivi hii si ndioina backup ya saudia... It is making losses lakini bado saudi ina pump in a lot of cash. Sema mimi mwenyewe naikubali kinoma katika EVs zote
 
Mbona kama wamecopy umbo na interior ya tesla kabisa ila wao wakashonea vitenge interior yake sijapenda hayo marangi. Huawei kampuni kubwa ingekuja na design unique si copy copy
Sheria ya kucopy inaelekea China haifanyi kazi. Ila hayo mavitenge ni temporary colors wanaziita camouflage kuzuia gari lisionekane design yake wanavyolitest mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…