Msaada mkuu.. Nimeroot simu ya tecno spark k8 imeishia hapa.. MsaadaIngia store ya hio simu kisha search google ama playstore utaona itakuja, inaweza kuja kichina hivyo angalia icon ya playstore kisha install. Iache irun kama itataka kudownload vitu ikubalie, playstore itaingia kwenye simu.
Si simu zote zinakubali kuroot na kingroot.Msaada mkuu.. Nimeroot simu ya tecno spark k8 imeishia hapa.. MsaadaView attachment 902164
Msaada mkuu.. Nimeroot simu ya tecno spark k8 imeishia hapa.. MsaadaView attachment 902164
Faida za ku root simu huwa ni zipi au mnaroot kwa sababu gani?
zipo nyingi tu... lakini kwa upande wangu kuna programme kadhaa nazipenda sana lakini nashindwa kuziingiza mpaka simu iwe rootedFaida za ku root simu huwa ni zipi au mnaroot kwa sababu gani?
mkuu ni tecno spark k8 vesion 7.0Si simu zote zinakubali kuroot na kingroot.
Kuna mtu umeona mahala fulani amefanikiwa?