Huba Series ndani ya maisha bongo dstv - imekosa mvuto kwa story zisizo na uhalisia katika mazingira ya kawaida

Huba Series ndani ya maisha bongo dstv - imekosa mvuto kwa story zisizo na uhalisia katika mazingira ya kawaida

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
6,585
Reaction score
10,363
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za hapa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home,

Kuna hii Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda mrefu sana, na imepewa airtime week nzima kuanzia J3 - Ijumaa, Hii series mwanzoni iliteka sana mashabiki wanaopenda kuangalia tamthilia za bongo, ila siku za hivi karibuni imepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya story zisizo na uhalisia katika maisha ya kawaida ambazo wanazitengeneza lengo ikiwa ni kuvuta muda series izidi kuonekana ndefu.

Kwanza kitu kinachonshangaza kule ndani kutokana na story yao, kila mtu amesha date na kila mtu kule ndani

Mfano

Kibibi, ameshatoka na Davy,Chidi na Fabrizo
Tima, ameshatoka na Davy, Jude na Jay B
Nelly,ameshatoka na Davy na Abby
Happy, ameshatoka na Chidi na JB
Nikole, ameshatoka na Kashaulo, Davy, Jude na Jb
Tesa, ameshatoka na Kashaulo na Roy (ambae ni mwanaye)
Monica, ashatoka na Fabrizo
Sidi, ameshatoka na Kashaulo na JB

Sasa kutokana na huu muingiliano wa hawa watu, series inakosa muelekeo na mvuto kabisa

Au wakuu mnasemaje 😃😃😃😃😃
 
Yaani yaaani yaaani..lawama napeleka kwa ma director..

Serious bongo hapa hatuna ma director makini..

Ila tuna ma camera man tuuu
Pia hawa ma camera man wetu wanacheza na mind za wamama wa nyumbani si unajua wanapendaga vi drama vya ajabu ajabu..

Na soon nakuja ku change soko la movie hapa bongo..

Dua zenu wakuu....
Am caming Director subirini kuona vtu vikali..

Bongo sio waigizaji hakuna wapo wa kutosha ishu ni ma director hatuna...

Na waliopo wachache wanafanya kazi kimazoea an mtu director sio by proffesional ila ni alikua mshika camera kwa kina mussa banzi
 
Wanawake wengi wanaielewa tu...
wakikaa 160 kuanzia saa mbili..mpk saa nne, na lazima utalipia kifurushi tu
 
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za hapa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home,

Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda mrefu sana, na imepewa airtime week nzima kuanzia J3 - Ijumaa, Hii series mwanzoni iliteka sana mashabiki wanaopenda kuangalia tamthilia za bongo, ila siku za hivi karibuni imepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya story zisizo na uhalisia katika maisha ya kawaida ambazo wanazitengeneza lengo ikiwa ni kuvuta muda series izidi kuonekana ndefu.

Kwanza kitu kinachonshangaza kule ndani kutokana na story yao, kila mtu amesha date na kila mtu kule ndani

Mfano
Kibibi, ameshatoka na Davy,Chidi na Fabrizo
Tima, ameshatoka na Davy, Jude na Jay B
Nelly,ameshatoka na Davy, Jay B na Abby
Happy, ameshatoka na Chidi na JB
Nikole, ameshatoka na Kashaulo, Davy, Jude na Jb
Tesa, ameshatoka na Kashaulo na Roy (ambae ni mwanaye)
Monica, ashatoka na Fabrizo
Sidi, ameshatoka na Kashaulo na JB

Sasa kutokana na huu muingiliano wa hawa watu, series inakosa muelekeo na mvuto kabisa

Au wakuu mnasemaje 😃😃😃😃😃
Tatizo liko kwa MultiChoice, na ndiyo maana kisimbuzi cha DStv ndicho kinaongoza kwa kupoteza wateja wengi kwa robo ya kwanza ya mwaka huu.

Na nadhani wako mbioni kutangazwa kufilisika au kuuzwa kwa Mfaransa. Huwezi kuruhusu contents zenye makosa ya kimuundo kama hii hapa uliyoisema.

Kwa muunganiko huo unamkosa victim na unamkosa hero. Kila mmoja hapo ni hero na victim.

Ova
 
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za hapa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home,

Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda mrefu sana, na imepewa airtime week nzima kuanzia J3 - Ijumaa, Hii series mwanzoni iliteka sana mashabiki wanaopenda kuangalia tamthilia za bongo, ila siku za hivi karibuni imepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya story zisizo na uhalisia katika maisha ya kawaida ambazo wanazitengeneza lengo ikiwa ni kuvuta muda series izidi kuonekana ndefu.

Kwanza kitu kinachonshangaza kule ndani kutokana na story yao, kila mtu amesha date na kila mtu kule ndani

Mfano
Kibibi, ameshatoka na Davy,Chidi na Fabrizo
Tima, ameshatoka na Davy, Jude na Jay B
Nelly,ameshatoka na Davy, Jay B na Abby
Happy, ameshatoka na Chidi na JB
Nikole, ameshatoka na Kashaulo, Davy, Jude na Jb
Tesa, ameshatoka na Kashaulo na Roy (ambae ni mwanaye)
Monica, ashatoka na Fabrizo
Sidi, ameshatoka na Kashaulo na JB

Sasa kutokana na huu muingiliano wa hawa watu, series inakosa muelekeo na mvuto kabisa

Au wakuu mnasemaje 😃😃😃😃😃
Ungeanza kuuliza muandaaji wa hiyo filamu sijui tamthilia ana ELIMU GANI kwenye tasnia?
 
Daaah mkuu umejua kunigusa hapo uliposema ""Ana elimu gani""
unaweza kukuta ni ngumbaru mwenzetu kaunganishiwa deal kupitia chama chakavu. Si unajua tena! kwa hiyo hamna mambo ya umahiri (elimu, uzoefu na 'exposure') ni mwendo wa vimemo toka kwa Bumunda, mpokeeni.
 
unaweza kukuta ni ngumbaru mwenzetu kaunganishiwa deal kupitia chama chakavu. Si unajua tena! kwa hiyo hamna mambo ya umahiri (elimu, uzoefu na 'exposure') ni mwendo wa vimemo toka kwa Bumunda, mpokeeni.
Elimu
Uzoefu
Exposure...........

Wengi ni camera man tuu hakuna ma director bongo hapa
 
Juzi kuna mmoja kati ya wale walioenda Korea sijui Irene Paul anaitwa aliongea kitu ambacho kila siku nimekua nakipigia kelele, Wasomi. Filamu na tamthlia na taaluma za watu. Kuna vichwa kibao vipo Bagamoyo havina kazi lakini huku watu wanaondesha mambo kisela.

Script bado tatizo, flow ya maongezi haivutii kabisa. Mpangilio wa visa bado tatizo. Story tunafeli. Hivi vyote kuna watu wamesomea anajua jinsi ya kuleta uhalisia jinsi ya kumfanya mtazamaji asiboreke na mnachokifanya lakini ndio hivyo wameamua kuchagua njia yao.
 
Yaani yaaani yaaani..lawama napeleka kwa ma director..

Serious bongo hapa hatuna ma director makini..

Ila tuna ma camera man tuuu
Pia hawa ma camera man wetu wanacheza na mind za wamama wa nyumbani si unajua wanapendaga vi drama vya ajabu ajabu..

Na soon nakuja ku change soko la movie hapa bongo..

Dua zenu wakuu....
Am caming Director subirini kuona vtu vikali..

Bongo sio waigizaji hakuna wapo wa kutosha ishu ni ma director hatuna...

Na waliopo wachache wanafanya kazi kimazoea an mtu director sio by proffesional ila ni alikua mshika camera kwa kina mussa banzi
Mkuu kama unataka kuingia kwenye hizi kazi nakushauri jitahidi utafute watu wenye elimu ya sanaa fanya nao kazi utatoa kitu kizuri. Na wewe mwenyewe kama hujasomea nenda kapige kozi hata ya mwaka mmoja.
 
Mkuu kama unataka kuingia kwenye hizi kazi nakushauri jitahidi utafute watu wenye elimu ya sanaa fanya nao kazi utatoa kitu kizuri. Na wewe mwenyewe kama hujasomea nenda kapige kozi hata ya mwaka mmoja.
Ni degree holder mkuu wa hivi vitu sema ndo hvo up.caming tuu

Najitafuta tafuta kwa kina majag hawa ila soon tuu ni issue ya generation gap.

Ila now nataka niwe seriously sasa maana huko pote unaposema kutafuta watu wazoefu kwa industry mpaka wakuamini ni issue nyingine na ina cost zake hivo kuna mda tuna freez na awa underground kwanza
 
Ni degree holder mkuu wa hivi vitu sema ndo hvo up.caming tuu

Najitafuta tafuta kwa kina majag hawa ila soon tuu ni issue ya generation gap.

Ila now nataka niwe seriously sasa maana huko pote unaposema kutafuta watu wazoefu kwa industry mpaka wakuamini ni issue nyingine na ina cost zake hivo kuna mda tuna freez na awa underground kwanza
Hongera sana kaka. Maadam una elimu ya haya mambo unaweza ukaanza na hawa wasanii wasio na majina. Sijajua utajipangaje kifedha ila ukiwa na muswada mzuri unaweza kupata wadhamini. Muhimu nguvu ya ushawishi tu.

Mimi najipanga nikasome mwakani.
 
Hongera sana kaka. Maadam una elimu ya haya mambo unaweza ukaanza na hawa wasanii wasio na majina. Sijajua utajipangaje kifedha ila ukiwa na muswada mzuri unaweza kupata wadhamini. Muhimu nguvu ya ushawishi tu.

Mimi najipanga nikasome mwakani.
Daah ndo hivo mkuu tatizo bongo hapa kuna ishu moja hakuna hii ya team work..

Unakuta mtu mmoja anataka afanye kazi zote yeye
Assume bongo hapa unakutana na producer
Cameraman
Director hvi vyote unakuta ameshikilia mtu mmoja..

Mfano angalia muvi nyingi za madebe lidai...

Sasa mtu kama huyu unategemea afanye kila kitu yeye atatoa kitu cha kustua east Afrika hapa..

Mkuu kwenye soko la film kuna maokoto sana aiseee ila ndo hvo tutafika tuu....

Na hawa ma director wakubwa wafanye juu chini wajipenyeke njee huko wapate Exposure
 
Daah ndo hivo mkuu tatizo bongo hapa kuna ishu moja hakuna hii ya team work..

Unakuta mtu mmoja anataka afanye kazi zote yeye
Assume bongo hapa unakutana na producer
Cameraman
Director hvi vyote unakuta ameshikilia mtu mmoja..

Mfano angalia muvi nyingi za madebe lidai...

Sasa mtu kama huyu unategemea afanye kila kitu yeye atatoa kitu cha kustua east Afrika hapa..

Mkuu kwenye soko la film kuna maokoto sana aiseee ila ndo hvo tutafika tuu....

Na hawa ma director wakubwa wafanye juu chini wajipenyeke njee huko wapate Exposure
Ndio mkuu huwezi kutoa kitu bora kwa style hiyo. Hata utunzi pia ni kipaji, tunaweza kuiga kwa wenzetu tukakaa chini na waandishi wa Riwaya tukafanya makubaliano ya kutumia story yake kwenye filamu yako.

Kuna riwaya nasomaga za hapa hapa Bongo kutoka kwa Watunzi kama Hussein Tuwa, George Mosenya, Japhet Nyang'oro nk ziko very interesting hadi nasema hizi kitu zikikutana na watu wanaolewa nini kifanyike kutoa filamu nzuri basi kitatoka kitu bomba sana. Watu wenyewe ndio kama wewe mkuu. Mnahitajika kuwa wengi kwenye hii tasnia.
 
Yaani yaaani yaaani..lawama napeleka kwa ma director..

Serious bongo hapa hatuna ma director makini..

Ila tuna ma camera man tuuu
Pia hawa ma camera man wetu wanacheza na mind za wamama wa nyumbani si unajua wanapendaga vi drama vya ajabu ajabu..

Na soon nakuja ku change soko la movie hapa bongo..

Dua zenu wakuu....
Am caming Director subirini kuona vtu vikali..

Bongo sio waigizaji hakuna wapo wa kutosha ishu ni ma director hatuna...

Na waliopo wachache wanafanya kazi kimazoea an mtu director sio by proffesional ila ni alikua mshika camera kwa kina mussa banzi
Nicheki pm nikupe mchongo
 
Yaani Duniani Kuna visa vingi sana vyakuweza kupata mawazo ya filamu, sisi Bado filamu zetu mambo yaleyale mara huyu katembea na huyu na yule katembea na wale
 
Back
Top Bottom