Manjonjo yake utaweza kuyaiga?
Ahh mwache Asprin aitwe Asprin, tunakutana kitaa anatongoza akiniona anabadilisha fear a gani tunarudi nyumbani. He is such a character 😀
Niombee niweze kupika vizuri kile chakula ukipendacho
Naam mama...Niombee niweze kupika vizuri kile chakula ukipendacho
Barikiwa sana mtumishi. Sitakusahau katija maombi yangu. Mola aliyenipa Sky Eclat atakupatia chaguo lako bora kabisa.
Haleluya!Na baby boy achukue tabia za Baba yake
Hapana. Hakika watapewa kila lililo jema..Kaka wewe kiboko, kwa hizi vocal jaman dada wetu si watakuwa wanamalizwa?
Hapana. Hakika watapewa kila lililo jema..
Niombee niweze kupika vizuri kile chakula ukipendacho
[emoji144]Hahahaha honey... unaanza kutoa siri za ndani ujue...
Na baby boy achukue tabia za Baba yake
[emoji115] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji124] [emoji124]Haleluya!
Safi sana. Maana imeandikwa mpeni Kaisari yaliyo ya kaisari na Mungu yaliyo ya Mungu.Umefanya nicheke kwa nguvu, ngoja mimi nikaoge niende kwa kaisari....
Rudi nyuma shetani[emoji144]