Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Huddah Monroe baada ya siku nyingi za kuwadiss wasanii wenzake na kuingia katika skendo za aibu, sasa ameamua kuingia katika mtandao na kuwaomba mafans na mahasimu wake wampe heshima.
Huddah amechukua hatua hio baada ya kufunguka kuwa yuko karibu kuwa mama hivi karibuni.
Katika mitandao, Huddah amebandikwa jina la kimombo 'socialite' kiufupi kiswahili kama malaya vile, soo Huddah ameamua kutaka kujeuza mtazamo huo kwa kila mtu na anaomba apewe heshima yake.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Huddah aliandika kuwa katika mitandao husoma mengi jambo ambalo humfanya yeye kucheka sana na si vyema kuitwa 'socialite, na anataka apewe heshima kwani yuko karibu kujifungua hivi karibuni.
Chanzo HUDDAH MONROE ANATARAJIA MTOTO: ANATAKA APEWE HESHIMA - bkuHABARI
Huddah amechukua hatua hio baada ya kufunguka kuwa yuko karibu kuwa mama hivi karibuni.
Katika mitandao, Huddah amebandikwa jina la kimombo 'socialite' kiufupi kiswahili kama malaya vile, soo Huddah ameamua kutaka kujeuza mtazamo huo kwa kila mtu na anaomba apewe heshima yake.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Huddah aliandika kuwa katika mitandao husoma mengi jambo ambalo humfanya yeye kucheka sana na si vyema kuitwa 'socialite, na anataka apewe heshima kwani yuko karibu kujifungua hivi karibuni.
Chanzo HUDDAH MONROE ANATARAJIA MTOTO: ANATAKA APEWE HESHIMA - bkuHABARI