Kwanini umefikilia hili swali babe?Kwa hiyo Huddah haendagi mwezini π
Kwani anafanya kazi NASA?Kwa hiyo Huddah haendagi mwezini π
Huenda anatumia stickKwa hiyo Huddah haendagi mwezini [emoji849]
Amesema kuwa yeye havai chupi kwasababu sehemu zake za Siri hazinuki.Chupi ni kwa ajili ya watu wanaonuka tupu zao!
Mrembo kutokea nchini Kenya na mpenzi mpya wa msanii wa BongoFleva Jux amesema kuwa yeye havai chupi kwasababu sehemu zake za Siri hazinuki.Chupi ni kwa ajili ya watu wanaonuka tupu zao!
"Sivai nguo za ndani. Sina yeyote ile, nguo za ndani ni kwa ajili ya watu wanaonuka sehemu za siri"_Huddah Monroe
Je,yuko sahihi?
Anatiaga jivuKwa hiyo Huddah haendagi mwezini [emoji849]
Kwani chupi zimeanza kuingia lini mrembo ? Au mabibi wa mabibi zetu wa mabibi zetu walikuwa wana vaa chupi ? Atakuwa ana namna anafanya inauo kidhi hiyo ada yake.Kwa hiyo Huddah haendagi mwezini π
Kwa hiyo Huddah haendagi mwezini π
Kuna wengine wamezidi. Ukianza kupima oil tu ghafla hali ya hewa inabadilika.Sijui kamaanisha nini.. Lakini amethibitisha asivyo na akili
Mwanamke yoyote lazima anuke kike.. Hiyo harufu ndio huleta ashki kwa wanaume
Manaake chekee πππKwa hiyo Huddah haendagi mwezini π