Ngoja aje atuambie ....maana sio mchezo na huu ukataHaswaaaaah ndo lengo [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Napenda jinsi ATM zipo chacheTPB Bank. Hawajawahi kuniangusha. Huduma zao zipo Sana!
Nimechukua M30 kwa miezi 18 riba 6M!Vipi riba zao na kwa muda gani unarejesha?
M30 kwa miezi 18 riba 6m!Sh ngapi mkuu?
Najua sasa hii shida yako ya muda mrefu itakuwa imefika mwishoM30 kwa miezi 18 riba 6m!
Kuna uzi humu unazungumzia hii kitu kwa kina. Ila yes inariba ya asilimia tano. Mfano ukikopa lak riba ni elf 5.Salary advance ina riba?hebu rudi tuelezee kwa utulivu kabisa
Vigezo vya kutumia hii huduma ni vipi tafadhali....Kuna uzi humu unazungumzia hii kitu kwa kina. Ila yes inariba ya asilimia tano. Mfano ukikopa lak riba ni elf 5.
Mtaan tulikuwa tunapigwa elf 20 kwa kila lak. Yaan unachukua lak unalipa 120.
Ila sasahv nikiwa na dharua ni mimi na simu yangu tu done.
Uwe mtumishi wa umma au kampuni binafsi, na shirika lako au kampuni liwe limesaini memorandum na crdb.Vigezo vya kutumia hii huduma ni vipi tafadhali....
TPB banki Wapo kwenye mtandao wa Umoja ATM. Mtandao una Benki za ndani zaidi ya 40Mtandao una zaidi ya 250Atms. Pia wanaongoza kwa kuwa na ATM nyingi kwenye huu mtandao! ATM zao muda mwingi zipo online! Wako vizuriNapenda jinsi ATM zipo chache