Huduma mbovu Airtel

Huduma mbovu Airtel

The Spirit of Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2020
Posts
1,045
Reaction score
1,868
Mwezi wa pili nilinunua laini ya Airtel, nilikuwa natumia Airtel money yao pia na mambo yalikuwa sawa tu.

Tatizo juzi nimemtumia mtu pesa kutoka Airtel money kwenda mpesa,pesa haijafika na kwangu wamekata pesa,huduma kwa wateja ukifika kile kipengele cha kuongea na mtoa huduma simu inaita halafu inakata,nimejaribu mara kadhaa ila sijafanikiwa.

baada ya kuona ujinga huu wa airtel nimeamua yafuatayo:
1. Kuwafungulia kesi mahakamani.
2. Halafu kuacha kutumia mtandao wao mbovu.
3. Kuikumbusha TCRA kuangalia kampuni hizi za mitandao ya simu.
airtel mna huduma mbovu kabisa;
 
Mkuu umeandika kuhusu halotel au airtel? Kama ni airtel basi hakuna tofauti na halotel labda majina tu..hakuna mtandao mbovu dunia nzima kama halotel
 
Airtel ilikua mtandao bora kwangu lakini kuanzia waanze upuuzi wa kupiga simu hadi urudie mara 2 au tatu ndio simu iwe connected hata vocha siweki tena ipo tu hewani
 
mwezi wa pili nilinunua laini ya airtel,nilikua natumia airtel money yao pia na mambo yalikua sawa tu.
tatizo juzi nimemtumia mtu pesa kutoka airtel money kwenda mpesa,pesa haijafika na kwangu wamekata pesa,huduma kwa wateja ukifika kile kipengele cha kuongea na mtoa huduma simu inaita halafu inakata,nimejaribu mara kadhaa ila sijafanikiwa.
baada ya kuona ujinga huu wa airtel nimeamua yafuatayo:
1. kuwafungulia kesi mahakamani.
2. halafu kuacha kutumia mtandao wao mbovu.
3.kuikumbusha TCRA kuangalia kampuni hizi za mitandao ya simu.
airtel mna huduma mbovu kabisa;
Unapoteza muda tu huwezi shinda hyo kesi
 
Unapoteza muda tu huwezi shinda hyo kesi
Airtel Leo nimejiunga mb 200 nikatewatega kwa kudownload fail langi la mb 80 bila kufungua popote zaido ya telegram ajabu file limeishia mb 50 salio limeisha waiz kweli nilikwa nahisi harufu ya kupigwa ila Leo nimethibitisha
 
Airtel Leo nimejiunga mb 200 nikatewatega kwa kudownload fail langi la mb 80 bila kufungua popote zaido ya telegram ajabu file limeishia mb 50 salio limeisha waiz kweli nilikwa nahisi harufu ya kupigwa ila Leo nimethibitisha
Airtel kwny data hawanipati tena Kwanza mtandao wao unanisumbua Sana japo naishi chini ya mnara
 
Mwezi wa pili nilinunua laini ya Airtel, nilikuwa natumia Airtel money yao pia na mambo yalikuwa sawa tu.

Tatizo juzi nimemtumia mtu pesa kutoka Airtel money kwenda mpesa,pesa haijafika na kwangu wamekata pesa,huduma kwa wateja ukifika kile kipengele cha kuongea na mtoa huduma simu inaita halafu inakata,nimejaribu mara kadhaa ila sijafanikiwa.

baada ya kuona ujinga huu wa airtel nimeamua yafuatayo:
1. Kuwafungulia kesi mahakamani.
2. Halafu kuacha kutumia mtandao wao mbovu.
3. Kuikumbusha TCRA kuangalia kampuni hizi za mitandao ya simu.
airtel mna huduma mbovu kabisa;
Ni wabovu zaidi ya ubovu wenyewe...
Voice call ni shida, unapiga unaongea na mtu hamsikikizani, mara inakoroma yaani binafsi mm nimeachana na huu upuuzi....
 
Back
Top Bottom