A
Anonymous
Guest
Kero
Tafadhari husika na kichwa tajwa hapo juu,
Mie ni mdau wa huduma za kifedha kutoka kwa makampuni mengi yanayotoa huduma hizo kila siku na ninafanya biashara.
Naomba kufikisha/ kusema/ kuwasilisha kero yangu kutoka mojawapo ya kampuni ya kifedha (African corporation Bank,ABC) inayotoa huduma za mikopo hapa nchini. Bank hii ina huduma /Sera mbovu Sana na sio shindani kulinganisha na Bank nyingine
Mfano: Mie nimefanya maombi ya mkopo tangu tarehe 22/05/2024 hapa Mbeya Mjini lakini mpaka sasa tarehe 17/06/2024 sijapata mkopo huo.
Nimejaribu kupiga simu na kwenda mara nyingi sana najibiwa nitalipwa nitalipwa lakini nikihoji kama kuna Changamoto kwenye nyaraka zangu za kuombea mkopo wanasema upande wangu hakuna shida
Na hii tabia upande wangu imetokea mara ya pili mkopo wa awali ulichukua wiki 4 kuupata tena baada ya kugombana nao
Naomba msaada wenu JF kutupazia sauti hizo tabia na Sera zao MBOVU waachane nazo maana hata nilivyoomba balance statement ili nihamie bank nyingine walinizungusha mpaka nikaghairi na biashar zangu zinaathirika
Nawasilisha
Ahsante
Tafadhari husika na kichwa tajwa hapo juu,
Mie ni mdau wa huduma za kifedha kutoka kwa makampuni mengi yanayotoa huduma hizo kila siku na ninafanya biashara.
Naomba kufikisha/ kusema/ kuwasilisha kero yangu kutoka mojawapo ya kampuni ya kifedha (African corporation Bank,ABC) inayotoa huduma za mikopo hapa nchini. Bank hii ina huduma /Sera mbovu Sana na sio shindani kulinganisha na Bank nyingine
Mfano: Mie nimefanya maombi ya mkopo tangu tarehe 22/05/2024 hapa Mbeya Mjini lakini mpaka sasa tarehe 17/06/2024 sijapata mkopo huo.
Nimejaribu kupiga simu na kwenda mara nyingi sana najibiwa nitalipwa nitalipwa lakini nikihoji kama kuna Changamoto kwenye nyaraka zangu za kuombea mkopo wanasema upande wangu hakuna shida
Na hii tabia upande wangu imetokea mara ya pili mkopo wa awali ulichukua wiki 4 kuupata tena baada ya kugombana nao
Naomba msaada wenu JF kutupazia sauti hizo tabia na Sera zao MBOVU waachane nazo maana hata nilivyoomba balance statement ili nihamie bank nyingine walinizungusha mpaka nikaghairi na biashar zangu zinaathirika
Nawasilisha
Ahsante