Huduma Vodacom zarejea baada ya saa takriban 6 za kukosa mtandao

Huduma Vodacom zarejea baada ya saa takriban 6 za kukosa mtandao

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Huduma za mtandao Vodacom zimerejea.

====

Huduma zote sasa zimerejea kama kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunatanguliza shukrani kwa uvumilivu wenu.
1727561717149.png
 
Yaani MASAA SITA.... MASAA 6... SIX HOURS😂😂😂
 
Wakuu,

Huduma za mtandao Vodacom zimerejea.

====

Huduma zote sasa zimerejea kama kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunatanguliza shukrani kwa uvumilivu wenu.
Vodacom imeshuka kiasi hiki.
Vodacom can not be relied upon. Hata halotel Ni Bora kuliko Hawa matapeli.
Kuna wizi fulani wanasema ukijiunga kwa two hundred unaweza kupata 50,000 sijawahi kuona aliyeshinda hii zawadi. Kuna Ile NI BALAA.
Sijawahi kuona mnufaika.
Kifupi vod haina uongozi kwa sada
 
Vodacom imeshuka kiasi hiki.
Vodacom can not be relied upon. Hata halotel Ni Bora kuliko Hawa matapeli.
Kuna wizi fulani wanasema ukijiunga kwa two hundred unaweza kupata 50,000 sijawahi kuona aliyeshinda hii zawadi. Kuna Ile NI BALAA.
Sijawahi kuona mnufaika.
Kifupi vod haina uongozi kwa sada
Vitu kawaida sanaa kwenye mitandao....
 
Walikuwa wanavujisha taarifa za kigogo mmoja hv soon mtasikia kauliwa au katekwa kaen mkao wa kuliwa
 
Vodacom kukosa mtandao muda wote ule hakuna hata sms ya kutuomba msamaha...
 
Washenzi sana hawa jamaa harafu hakuna hata kutuomba radhi nafikiria kuachana na line yao kabisa..
 
Back
Top Bottom