kichakorojack
Member
- Sep 19, 2011
- 78
- 12
Hawa hapa ndiyo ma agent wa barcode Tanzania, bofya: GS1 TZ National Ltd
Ukijisajili hapo Gs1 unaweza ukawa unatengeneza barcode zako kampuni inaitwa digiscan technologies iko kona ya mtaa wa samora na mkwepu, jengo la ami ghorofa ya kwanza