Dsm Installers Tech
Member
- Aug 15, 2018
- 19
- 19
Hapo atakuja surveyor, atachukuwa vipimo na mchoro, baada ya hapo mchoro uke utaenda Kwa management ya Biashara na Support then muhasibu atakupigia simu au watakuletea invoice… ni mzunguko Kama siku 2 tuu kama manager anakuwa SI mswahili.Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani, kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingne zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
Asante sana mkuu, nina imani jambo litafanikiwa maana nina uhitaji sana[emoji120]Hapo atakuja surveyor, atachukuwa vipimo na mchoro, baada ya hapo mchoro uke utaenda Kwa management ya Biashara na Support then muhasibu atakupigia sim au watakuletea invoice… ni mzunguko Kama siku 2 tuu kama manager anakuwa SI mswahili.
Na kama vifaa vipo na kazi ni chache siku 1 mbele unafungiwa na kuanza kupata huduma.
Ofisi za TTCL Tegeta ziko sehemu gani mkuu?Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
Watakuja January 2023Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
upo maeneo gani mkuu hapa tegetaLeo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
Ofisi za ttcl tegeta ziko sehemu gani mkuu?
Asante mkuuKibo complex
Hao customer care wanachosha sana.Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
Kiongozi tunaomba mrejesho kama walikufungiaLeo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap? Msaada wakuu..[emoji120]
Mrejesho mkuuLeo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap?
Msaada wakuu..[emoji120]
Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap?
Msaada wakuu..[emoji120]
Uniite mbwa nmekaa paleMrejesho ?
Mrejesho ni kua Au bgasMrejesho ?
Mkuu, vipi ulifungiwa huduma?Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap?
Msaada wakuu..[emoji120]
Ulifanikiwa?Asante sana mkuu, nina imani jambo litafanikiwa maana nina uhitaji sana[emoji120]