Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Naomba kuuliza wakuu, kwa wale mliopo Dar Kuna jengo karibu na Mlimani City linapangishwa je Kuna huduma za Internet ya fiber maeneo zimefika huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu majengo yanayopangishwa mtaa huo yako kibao tu.Naomba kuuliza wakuu, kwa wale mliopo dar Kuna jengo karibu na mlimani city linapangishwa je Kuna huduma za Internet ya fiber maeneo zimefika huko?
Lakini je mitaa hiyo fiber zimeshafika huko?Kuhusu majengo yanayopangishwa mtaa huo yako kibao tu.
Sina hakika. Lakini huko kuna extensive users wa internet ikiwemo TCRA inawezekana vipi kusiwe na Fiber.Lakini je mitaa hiyo fiber zimeshafika huko?
Sawa mkuuSina hakika. Lakini huko kuna extensive users wa internet ikiwemo TCRA inawezekana vipi kusiwe na Fiber.