Travis Walker
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 323
- 334
Habari wakuu, Ninatoa huduma ya ku bypass iCloud kwenye iPhone Huduma ni kama ifuatavyo
iPhone Bypass (Huduma ina bypass iCloud activation na unaweza kuendelea kutumia simu yako kama kawaida bila kujua email wala password)
iPhone Disabled/Passcode (Kama uko na iPhone haujui passcode zake au iko disable na iCloud haukumbuki inaweza kutoka passcode bila ya kudai activation baada ya hapo)
iPhone IMI Services (Kama uko na iPhone ambayo unaweza kuitumia lakini imesainiwa na iCloud ambayo huijui password zake. Kupitia huduma inaweza kutoka na kuendelea kutumia iCloud nyengine ya kwako)
NOTE: iPhone ambazo ni MEID kama vile iPhone 6, 6s, na 6 Plus zinaweza kuwa bypassed lakini hazitokubali kusoma Network kwa maana hutoweza kupiga wala hutopata access ya Mobile Data lakini features nyengine zote za iPhone zitakubali kwa watu walio na access na WiFI ni bomba. Hata hivyo simu yoyote ambayo itakuwa bypassed haitoweza kupokea update mpya Pia tunaweza ku unlock iPhone yoyote moja kwa moja bila kuwa bypassed lakini bei ya juu so Utapiga tuongee vizuri.
Simu ambazo sio MEID zitafanya kila kitu kupiga, uwezo wa kutumia laini baada ya ku bypass.
KARIBU TUKUHUDUMIKIE
MAWASILIANO : 0745 521 126
WHATSAPP: 0745 521 126
iPhone Bypass (Huduma ina bypass iCloud activation na unaweza kuendelea kutumia simu yako kama kawaida bila kujua email wala password)
iPhone Disabled/Passcode (Kama uko na iPhone haujui passcode zake au iko disable na iCloud haukumbuki inaweza kutoka passcode bila ya kudai activation baada ya hapo)
iPhone IMI Services (Kama uko na iPhone ambayo unaweza kuitumia lakini imesainiwa na iCloud ambayo huijui password zake. Kupitia huduma inaweza kutoka na kuendelea kutumia iCloud nyengine ya kwako)
NOTE: iPhone ambazo ni MEID kama vile iPhone 6, 6s, na 6 Plus zinaweza kuwa bypassed lakini hazitokubali kusoma Network kwa maana hutoweza kupiga wala hutopata access ya Mobile Data lakini features nyengine zote za iPhone zitakubali kwa watu walio na access na WiFI ni bomba. Hata hivyo simu yoyote ambayo itakuwa bypassed haitoweza kupokea update mpya Pia tunaweza ku unlock iPhone yoyote moja kwa moja bila kuwa bypassed lakini bei ya juu so Utapiga tuongee vizuri.
Simu ambazo sio MEID zitafanya kila kitu kupiga, uwezo wa kutumia laini baada ya ku bypass.
KARIBU TUKUHUDUMIKIE
MAWASILIANO : 0745 521 126
WHATSAPP: 0745 521 126