wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Siku hizi hii huduma imepamba moto kila kona ya mji yaani unakuta mtu amekodi fremu au anaweka banda ameariji vijana kabisa kazi yao ni kusafisha wamama/ wadada miguu kuwatoa magaga kuseti kucha kupaka rangi kucha kupunguza hadi kupachika kucha za bandia na kope za bandia.
Hii huduma kwa sasa wamama/ wadada (baadhi sio wote) imewafanya hawanawi tena miguu majumbani mwao yaani anatoka anaenda bandani unamkuta kanyanyuliwa miguu juu anafanyiwa hadi masage za miguu na kwenye vidole vya miguuni na kupandisha hadi sehemu za magotini. Hii imewafanya hadi dada zetu/mama zetu kuwa wavivu kwenye swala la usafi wao binafsi.
Hii imenifanya hadi nikampa masharti shemeji yenu ziku namkuta/ namfuma akifanyiwa haya mambo hataamini kama ni mimi kile nitakachofanya.
Hivi wamama/ wadada mnaelekea wapi? Badilikeni ndio maana kwa sasa wengine hamuolewi/kuachika kwa sababu ya mambo /starehe mnazojizoelesha ambazo ni aibu kwenu na familia.
Zaidi soma:
Hii huduma kwa sasa wamama/ wadada (baadhi sio wote) imewafanya hawanawi tena miguu majumbani mwao yaani anatoka anaenda bandani unamkuta kanyanyuliwa miguu juu anafanyiwa hadi masage za miguu na kwenye vidole vya miguuni na kupandisha hadi sehemu za magotini. Hii imewafanya hadi dada zetu/mama zetu kuwa wavivu kwenye swala la usafi wao binafsi.
Hii imenifanya hadi nikampa masharti shemeji yenu ziku namkuta/ namfuma akifanyiwa haya mambo hataamini kama ni mimi kile nitakachofanya.
Hivi wamama/ wadada mnaelekea wapi? Badilikeni ndio maana kwa sasa wengine hamuolewi/kuachika kwa sababu ya mambo /starehe mnazojizoelesha ambazo ni aibu kwenu na familia.