Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,991
Umesha pewa ushauri kimbilia hospital au dispensary iliyo karibu yako.ISIS, nahitaji kwanza huduma ya kwanza kabla sijachukua uamuzi wa kwenda hospital.
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Umesha pewa ushauri kimbilia hospital au dispensary iliyo karibu yako.
Ww una taka huduma ya kwanza,hivi wewe ni mzima kweli au ndiyo hiyo sumu Ina kutoa kamasi paka ujielewi
100% kweliKuna jamaa wamesema Tandu anaua hii ni kweli, au nikutishana tu?