Huduma ya kwanza ni muhimu sana

ELAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
410
Reaction score
150
Kwa experience ya case mbalimbali ambazo hufikishwa hospitali huku hali ikiwa mbaya kiasi au kushindwa kufikishwa kabisa basi ni dhahiri kwamba huduma ya kwanza ni muhimu sana. Huduma ya kwanza :
1. Husaidia kuokoa maisha
2. Husaidia kupunguza maumivu na kuzuia hali ya mgonjwa isizidi kuwa mbaya
3. Husaidia kuharakisha uponaji

Naomba nitumie fursa hii kuwahamasisha WanaJf wenzangu tujenge utamaduni wa kuwa na vifaa vya huduma ya kwanza nyumbani na kazini pamoja na kupata mafunzo ya huduma ya kwanza ili kusaidia afya zetu.
Naitumia likizo yangu kusaidia kutoa huduma ya kwanza kwa jamii, elimu ya afya na ushauri juu ya mambo mbali mbali ya afya. Yeyote mwenye kuhitaji kusaidiwa basi namkaribisha sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…