huduma ya kwanza tafadhali

neyl

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
127
Reaction score
19
jaman naomben ushauri, me nilkuwa na bf wangu 2lipendana sana akanitambulisha kwao ikabak ye kuja kwe2, sasa hapo pakaanza utata me nataka aje ajitambulishe ye anajivuta vuta ikafika point 2kagombana sana na nilmtolea maneno makali later nikajishusha nikamwomba msamaha akanambia yameisha 2kaishi vzuri afta mwez nikapewa kibuti kuhoj sababu napewa zile za kipindi kile cha ugomvi, nifanyaje jaman na nampenda huyu kaka sana
 
Ule utamtoleaje mwenzako maneno makali mwenzako,iyo imekula kwako mwenzako kachoshwa na hilo litabia lako wait upate ji2 lenye tabia kama yako ya kutolea maneno makali mtaendana
 
Imekula kwako,anza upya.
Njoo kwangu nikuponye.
OTIS
 
Jitahidi umweleweshe kuwa ilikua ni hasira,asipokuelewa inabidi ujiulize umuhimu wa kuumia kuhusu mtu asiekuelewa!
 
hakukupenda huyo. Ndo maana akasita kuja kwenu. Pili ukome kutambulisha viboyfriend kwenu, utajifunga kimahusiano, mkiachana lazima kwenu wajue wakati Wanaume huwa hawana noma majumbani mwao hata wakitambulisha mawifi 10 inaonekana ndo urijali
 
Bila mawasiliano mazuri ni lazima kuwe na machfuko, mawasiliano mazuri ni chanzo cha faraja, na upendo jaribu kumkubusha jambo moja ambalo una amini lili murahisha pindi mkiwa pamoja atakusamehe
 
Wakati unaendelea kujishusha jaribu kujiliwaza huko pembeni! utakuja kupata stress za kijinga wewe!
 

kwa hiyo UMEPIGWA CHINI?!!
 
Ukipata mwingine uache maneno makali.Vinginevyo utakuwa mtu wa kuomba huduma ya kwanza ,ya pili,ya tatu,ya nne hadi ya ngapi sijui!
 
Pole sana, hicho kibuti kimekuja bila sababu? Kama ni zile sababu za mwanzo ndiyo zimesababisha yeye leo akupige kibuti ujue ni wazi kuwa hakuwa na mpango wa kufunga ndoa na wewe. Maana hata sababu ya ugomvi wenu inaonyesha ni kwa sababu aligoma kuja kujitambulisha kwenu.
Inaonekana anataka uendelee kuwa gelfriend badala ya wife! Tafakari, chukua hatua!
 
Shosti nnadhani kama hukuambiwa yuko uliambiwa wako au wewe hujafika darasa hilo ulishia chini chekechea? kwanini akusugue roho yako kwani wengine hawana alokua nayo yeye? futa machozi yako upesi usiniaibishe, pole wangu chakufanya kama ameshakuacha kisa

ulimtolea maneno huyo mzushi ameshachoka na wewe na ameshajua kama wewe kwake uko chordooo hujifai! huzungushi wala hupindui sasa basi sikwambii kama nirahisi kumsahau laaa! sio rahisi lakini kama kweli unataka utaweza la unataka kutaki itakua bado hujaamua, fikiria jee ukotayari kusuguliwa roho kila leo au uko tayari kulia kila leo sio kulia kwa raha apana kwa kukutafir roho yako,huyo bwana hakufai tena kesha kua mumunya kaharibikia ukubwani achana nae....
 
Life goes on! Fikiria ndio umefunga ndoa na kichomi kama huyo asiyedamehe? Huwezi jua Mungu kakuepushia nini! Utampata mwingine ajuaye kubembeleza na kudekeza!
Cheer up girl!
 
Nina assume jamaa alianza hivi
Nilitukanwa sanaaaa, nimetafakari sanaa, kwaniaba ya familiy yetu na mimi mwenyewe nimeona sinabudi Ning`atuke mwenyewe.

Pole sana sana dada yangu ila kama ndo mchizi kasepa jifunze kutokana na makosa, coz hata mimi ni mgumu kwenda kutambulishwa upande wapili, nitakupenda sana, nitakupa kila kilocho ndani ya uwezo wangu, naright time ikifika nitakuja kujitambulisha bila hata kuombwa, so don`t ask for this next time mapema, tumia muda huo kuona kama atakuwa mume na baba wa watoto wenu mwema
 
ukimng'ang'aniza mwanaume kuja kwenu matokeo yake atakukimbia tu,wanaume hawapendi kuwa pressured
Next time usirudie kosa
 
Kama husomi basi hata picha huoni jamaa hkufai huyo achanane wala usipoteze muda wako kwake ulipenda asiependeka dada jiamini wewe ni mwanamke utapata wako akupendae kikweli vuta subr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…