Huduma ya LUKU imepotea tena, hatuwezi kununua umeme

Huduma ya LUKU imepotea tena, hatuwezi kununua umeme

The Saver

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
202
Reaction score
651
Ni masaa matano tokea system ya LUKU kupotea yaani huwezi kununua umeme

Hii ni ishara mbaya kwa waziri na serikali kwa ujumla kwa hili tatizo kujitokeza mara ya pili ndani ya miezi miwili

Mama samia Ebu kuwa mkali kidogo yaani nina uhakika madudu mengi yatakuja kwa utawala huu, mchwa wa harimashauri wataanza kutafuna pesa za umma na mwisho wa siku maisha ya naendelea

Huu utakuwa utawala GOIGOI
 
Sisi yetu ni kusema tutamkumbuka

Magu alipondwa sana lkn mfumo wa kununua luku haujawahi kwama wakati wake
 
Mh SSH TANESCO wanakuleta mzaha ebu wafukuze watu wa kitengo cha LUKU kabla hawajakugombanisha na wananchi.
 
Back
Top Bottom