nashukuru.
Fiziotherapia /physiotherapist ni mtaalam wa afya ambaye anatibu matatizo ya viungo vya mwili yani mifupa,misuli,mishipa ya fahamu pamoja na maungio kwa kutumia mazoezi tiba.
lakin pia kwenye matibabu ya kifiziotherapia kuna viti vyengine zaidi ya mazoezi ambavyo vinatumia kutibu. mfano mashine za umeme (Tens) ,mashine ya ultrasound na mashine nyengine za kuvuta shingo na kiuno. vipi mashine nyingi pia ambayo sijazitaja.
magonjwa ambayo tunatibu mfano
kiharusi(stroke)
maumivu ya mgongo,kiuno,nyonga,shingo,bega,miguu na mikono
kisukari
kuchelewa kukua kwa watoto(delayed milestone)
mtindio wa ubongo(cerebral palsy)
Kuvunjika (mkono,mguu,uti wa mgongo)
kupooza mwili
watoto wenye vichwa maji(hydrocephalus)
matatizo ya ganzi(mikononi/miguuni)
kukosa nguvu za kiume(erctile dysfunction)
kukosa nguvu za kuzuia haja( wagonjwa wa uterine prolapse/fistula)
na mengine mengi siwezi kuyataja yote.
ila fahamu kwamba matatizo yote ya viungo wataalam wa fiziotherapia ndio wanaotibia.
kufahamu zaidi fuatilia page yangu ya instagram @physioplus_dar
au bofya hii link chini[emoji116][emoji116][emoji116]
Hebu tuelimishane Fiziotherapia ndio mnatibu nini na nini wajameni?
brief kidogo