Huduma ya ST Scan na Matibabu , Hospital ya Ikonda - Makete

Kayoka

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
2,262
Reaction score
1,956
Habari wana JF.

Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi.

Madaktari wametushauri mgonjwa wetu tumpeleke Hospital ya Muhimbili, Agha Khan au KCMC ili apatiwe huduma ya CT Scan ili kuona ukubwa wa tatizo na kupatiwa matibabu ya haraka.

Nilikuwa naomba msaada wenu wakuu kujua kama huduma hii ya CT Scan na matibabu naweza kuipata kule Ikonda Hospital na gharama zake pia zikoje?

Ahsanteni
 
Bila shaka umemaanisha CT scan, kwanza poleni, pia kama mko huko songea na ana hali mbaya kama unavyoeleza, vyema kumfikisha kwenye hizo hospitali ulizoambiwa, achana na Ikonda mkuu, au hata ya Mkapa dodoma.
Ila kama ishu labda ni umbali na gharama, basi nenda rufaa Mbeya utapata huduma.
 
Pole sana mkuu,nimefikiria Drimulaina iliyoletwa juzi juzi sirikali kama yote wakaipokea na itakayokuja 2019 wakati CT Scan kanda yote ya nyanda za juu hakuna mpaka mtu aletwe DSM.
 
Pole sana mkuu,nimefikiria Drimulaina iliyoletwa juzi juzi sirikali kama yote wakaipokea na itakayokuja 2019 wakati CT Scan kanda yote ya nyanda za juu hakuna mpaka mtu aletwe DSM.
Mungu pekee ndo anajua juu ya huduma za afya,Lakini kupanda lidrimulaina nako ni afya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…