Huduma ya usafi majumbani na ofisini.

milliondollar

Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
18
Reaction score
5
Je unawaza jinsi ya kuhamia kwenye nyumba yako mpya jinsi gani utasafirisha mizigo,utapangaje nyumba yako ?basi haina haja ya kusumbuka kwani tupo kwa ajili yako.tunatoa huduma zifuatazo..
Usafirishaji mizigo kutoka sehemu moja na Nyingine
.usafi majumbani na ofisini (deep cleaning)
.usafi wa sofa na makapeti
.kubadilisha muonekano wa nyumba.
.kufua na kupanga nguo kwenye makabati
.usafi katika garden
Na huduma nyingine kuhusu usafi.
chagua huduma ambayo ungependa ufanyiwe,wasiliana nasi CLEANINGAvenue
Contact 0714835965
0767626990
Karibu tukuhudumie kokote tunafika dar es salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…