Kobe_mzee
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 445
- 153
Ndugu zanguni Salaama?
Kwa muda sasa kupitia mwamvuli wa vigezo na masharti kumekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika bei za vifurushi vya mawasiliano kwa mitandao yote mikubwa, yaani: Vodacom, Airtel, na tiGo.
Kwa Mfano, kifushi cha Sh. 1000 kwa Airtel walianza kwa kutoa dk. 30, MB 250, na SMS kibao, baadae wakapunguza Mpaka Dk. 25, MB 100, SMS kadhaa, kwa Sasa ni Dk. 25 MB 8 na Sms kadhaa. Nilipowapigia Airtel na kuwahoji wakasema walikuwa kwenye promosheni!
Lakini hiyo imekuwa ni tabia (trend) kwa mitandao yote mitatu, na wimbo wao wa "MB 8 na dakika kiduchu"?. Je hii ni dhana ya soko huria au ni udhaifu wa MAMLAKA ZA UDHIBITI?? Au ndivyo vigezo na masharti katika sheria???
Suhisho:
Kama hatuna, nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuanzisha/kuimarisha JUMUIYA YA WATETEZI WA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA SIMU kisheria.
Mungu Ibariki Tanzania!
Kwa muda sasa kupitia mwamvuli wa vigezo na masharti kumekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika bei za vifurushi vya mawasiliano kwa mitandao yote mikubwa, yaani: Vodacom, Airtel, na tiGo.
Kwa Mfano, kifushi cha Sh. 1000 kwa Airtel walianza kwa kutoa dk. 30, MB 250, na SMS kibao, baadae wakapunguza Mpaka Dk. 25, MB 100, SMS kadhaa, kwa Sasa ni Dk. 25 MB 8 na Sms kadhaa. Nilipowapigia Airtel na kuwahoji wakasema walikuwa kwenye promosheni!
Lakini hiyo imekuwa ni tabia (trend) kwa mitandao yote mitatu, na wimbo wao wa "MB 8 na dakika kiduchu"?. Je hii ni dhana ya soko huria au ni udhaifu wa MAMLAKA ZA UDHIBITI?? Au ndivyo vigezo na masharti katika sheria???
Suhisho:
Kama hatuna, nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuanzisha/kuimarisha JUMUIYA YA WATETEZI WA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA SIMU kisheria.
Mungu Ibariki Tanzania!