[h=5]Huduma za usafiri zimesimama mjini Songea kufuatia kukosekana kwa Petrol na Disel katika vituo vya uuzaji mafuta hayo kwa madai kuwa wameishiwa[/h]
source ITV
Huku kilosa diesel imeadimika toka ijumaa maeneo ya dumila imekuwa bidhaa adimu wafanyabiashara wanafanya wanavyotaka na hakuna wa kuwakemea kweli safari ni ndefu kufika nchi ya ahadi