realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Kumekuwa na kawaida ya Taasisi mbalimbali za umma na Binafsi wakati wa maadhimisho fulani ndio huchakarika kwelikweli lakini yakiisha ndio basi.
Tunawakumbusha kuendelea kuwa wakarimu na kutoa huduma bora vilevile kama mlivyokua mkielezea wakati wa SabaSaba.
Tunawakumbusha kuendelea kuwa wakarimu na kutoa huduma bora vilevile kama mlivyokua mkielezea wakati wa SabaSaba.