Huenda bwana Dudu Baya akawa ndio akawa ndio Mshauri mashuhuri wa NCHI!

Huenda bwana Dudu Baya akawa ndio akawa ndio Mshauri mashuhuri wa NCHI!

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Heri ya Xmas

Niende kwenye mada kwa Tanzania asaiv huenda bwana DUDU BAYA akawa ndio MSHAURI mashuhuri wa NCHI hii ni baada ya kuona ikitokea sintofahamu yoyote nchini waaandishi mara moja hukimbilia kumuomba ushauri au maoni iwe kisiasa kimapenzi nk

Cha ajabu jamaa mara nyingi huonenaka amepiga vyombo na hata mwonekano wake huwa rafu sana lakini anachoongea hakuna mtu aliwahi kuja kukanusha iwe kuanzia ishu za mashoga siasa uchumi hakuna wa kumpinga

DUDU BAYA na akaitisha press ni rahisi Dudu Baya kutikisha nchi kumbuka DUDU BAYA haitaji maandalizi yoyote hata ukimkuta bar yeye akisema hakuna kiumbe amewahi kumchallange mimi nadhani serikali hususani BASATA wangemchukua jamaa awe mtetezi wa wasanii maana jamaa Huwa hafichi kitu .

Screenshot_20241225-064927.jpg
 
Heri ya Xmas

Niende kwenye mada kwa Tanzania asaiv huenda bwana DUDU BAYA akawa ndio MSHAURI mashuhuri wa NCHI hii ni baada ya kuona ikitokea sintofahamu yoyote nchini waaandishi mara moja hukimbilia kumuomba ushauri au maoni iwe kisiasa kimapenzi nk

Cha ajabu jamaa mara nyingi huonenaka amepiga vyombo na hata mwonekano wake huwa rafu sana lakini anachoongea hakuna mtu aliwahi kuja kukanusha iwe kuanzia ishu za mashoga siasa uchumi hakuna wa kumpinga

DUDU BAYA na akaitisha press ni rahisi Dudu Baya kutikisha nchi kumbuka DUDU BAYA haitaji maandalizi yoyote hata ukimkuta bar yeye akisema hakuna kiumbe amewahi kumchallange mimi nadhani serikali hususani BASATA wangemchukua jamaa awe mtetezi wa wasanii maana jamaa Huwa hafichi kitu .
Huwa anaongea vema kwa kadiri ya uelewa wake.Hana mafumbo wala kuogopa.Lakini,kuhusu kupewa nafasi ya ushauri serikalini hapana.Wawe wanamlipa za kutosha wakimsumbua na maswali yao.
 
Back
Top Bottom