Huenda dawa ya Corona ikatoka Afrika Mashariki

Huenda dawa ya Corona ikatoka Afrika Mashariki

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Yaani kwenye changamoto kama hizi ndio utaona utofauti wa viwango vya akili vya watu Toka Corona iingie ukifuatilia Ile combating reactions huko social media kati ya mataifa jirani na Tanzania utaona lipo ombwe kubwa kichizi kati ya Tanzania na mataifa jirani Watanzania walianza kubuni fasta vifaa vya kunawia, local ventilators, remedies, mambo ya kujifukiza etc

Mpaka sasa zipo zaidi ya remedies 20 watanzania wametengeneza kila zipo NIMR na nyingine NIMR

wameshazipitisha zinatumika Upande wa pili kuanzia viongozi wa serikali mpaka wananchi wa kawaida wamekaa kichawi chawi tu, wapo busy kuipakazia Tanzania na kuichafua akili zao za kuku zimezima kabisa hata kujaribu kutengeneza chochote mfanano wa dawa ya Corona

Tuwasamehe sababu tunajua they have chickens heads, au pumpkins wamejiseti tu kumtegemea mzungu kwa kila kitu na ndio maana wana ardhi lakini wanakufa kwa njaa ila mzungu analima maua na Chai na kutengeneza profits, sio kosa lao bali mfumo uliowakuza

Tumshukuru Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kutuletea falsafa ya ujamaa na kujitegemea, point kubwa hapa ni kujitegemea

Tanzania tumekua na akili ya kufight our bettles on our own na ndio maana kuna watu Wanamshangaa Magufuli kwanini anaendesha mambo yake kivyake Vita ya Uganda tulijaribu kushirikisha dunia na Africa lakini Hakuna aliekua upande wetu, so toka kipindi hicho Tunapenda zaidi kufanya kivyetu, Nyerere alitamani Africa iwe moja na kuunganisha nchi za ukanda huu lakini walikataa so toka kipindi hicho Tanzania tupo kivyetu

Juzi Magufuli kashauri kitu cha maana sana kuhusu mikopo ya WB na IMF lakini ndo kwanza waka-sign mikopo badala kuwa na kauli moja kuishinikiza IMF na WB kuondoa riba na kupunguza marejesho katika wakati huu

Nashukuru zaidi ya wabunge wenye akili 80 huko ulaya na Marekani wamemuunga Magufuli mkono kwenye hili

Tuachane na hayo tuje kwenye dawa, haijalishi kama itakuja kukubaliwa na mabeberu au vipi lakini hii ni gesture nzuri sana sisi kama Taifa kujitegemea na kujiamini kwamba tunaweza, kijana mdogo huyu akiwa na mawazo ya Mwl. Nyerere anaweza kututoa watanzania kimasomaso



Tumpe ushirikiano
 
Wanataka uzi wa kuitukana Tanzania[emoji1241] tu
Ni watu wa hovyo sana, tunajua wapo antigovernment lakini sio kwenye kila kitu wanaaply uzwazwa wao

Hii taarifa inaweza kuokoa maisha ya watu wengi.
 
Apo ndipo dunia nzima itakapo mweshimu raisi makini MAGUFULI .sasaivi wanamwiga kimyakimya
 
Ninyi mlivyo hamna akili hata hiyo remedy ya limao na tangawizi hamkubuni ninyi, mpo kusubiri wazungu waumize akili kwa ajili yenu.

Hii dawa ya huyu kijana haina hayo uliyoyaongea
Umeijaribu?
 
Ninyi mlivyo hamna akili hata hiyo remedy ya limao na tangawizi hamkubuni ninyi, mpo kusubiri wazungu waumize akili kwa ajili yenu.

Hii dawa ya huyu kijana haina hayo uliyoyaongea

Pia Kemri ya Kenya ndio inaongoza Africa mikakati ya kutafuta dawa ya Corona.
Na sio corona tu. Kemri imefanya research na kupata dawa za magonjwa mengi sana.

Hilo ni shirika la kisayansi, sio la waganga na wachawi.
 
Stupid, ila ingeletwa na wazungu mngepanua miguu yenu ready for infiltration, your slavery colonised mindset makes me puke and loose hope for Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanasayansi wazungu sio wachawi na warogi kama wabongolala.
Wanatumia standards za sayansi.
Dawa zao simefanyiwa trials kwa muda mrefu.

Huu wenu ni ujinga wa taifa mzima. Tragic.
 
Wanasayansi wazungu sio wachawi na warogi kama wabongolala.
Wanatumia standards za sayansi.
Dawa zao simefanyiwa trials kwa muda mrefu.

Huu wenu ni ujinga wa taifa mzima. Tragic.
Eti sio wachawi, so brainwashed i dont know where to start wit you. Uchawi ni nini kwa akili yako.
Just ask for the fvcking ingredients, google them and how it is mixed and improved, become curious don't just oppose your fellow African invention, come up with better ideas if you have, that down looking on your fellow kinds whilst worshiping foreigners is what holds us back, I know it was bestowed upon ye majority Kenyans through tribalism, but https://jamii.app/JFUserGuide, evolve mfs.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe ni mwanasayansi.

kenya imegundua dawa ipi inayotibu gonjwa gani,zaidi ya kuwa na viwanda vya dawa zilizofanyiwa utafiti nje???
hivi unadhani kugundua dawa ni kama kugundua helcopter zile za machuma chakavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Enda usome hapa - https://yellow.co.ke/categories/pharmaceutical
Almost 100 pharma companies in Kenya.

Kenya Medical Research Institute (KEMRI) has 15 research centres across Kenya.


Vaccine ya TB invented by Kemri -
Kemri researchers develop world's first adult TB vaccine

Most advanced Malaria research - Kemri -
Malaria breakthrough as scientists find ‘highly effective’ way to kill parasite

Ebola vaccine - Kemri
Kemri Ebola vaccine passes Phase One trials

Rapid Test kit for Rift Valley Fever, developed by KEMRI -
Kemri develops new testing kit for Rift Valley Fever

Rotavirus vaccine breakthrough - Kemri - Europe PMC

Lumphatic Filariasis treatment - Kemri - Breakthrough Lymphatic Filariasis Treatment Piloted in Kenya – a First for Africa

Africa's most advanced HIV research - Kemri

Kemri even has a traditional medicine unit, that uses modern science to examine and invent medicine from traditional herbs.

The list is endless.

Tanzania ni uganga na uchawi na urogi.
 
Yaani kwenye changamoto kama hizi ndio utaona utofauti wa viwango vya akili vya watu Toka Corona iingie ukifuatilia Ile combating reactions huko social media kati ya mataifa jirani na Tanzania utaona lipo ombwe kubwa kichizi kati ya Tanzania na mataifa jirani Watanzania walianza kubuni fasta vifaa vya kunawia, local ventilators, remedies, mambo ya kujifukiza etc

Mpaka sasa zipo zaidi ya remedies 20 watanzania wametengeneza kila zipo NIMR na nyingine NIMR

wameshazipitisha zinatumika Upande wa pili kuanzia viongozi wa serikali mpaka wananchi wa kawaida wamekaa kichawi chawi tu, wapo busy kuipakazia Tanzania na kuichafua akili zao za kuku zimezima kabisa hata kujaribu kutengeneza chochote mfanano wa dawa ya Corona

Tuwasamehe sababu tunajua they have chickens heads, au pumpkins wamejiseti tu kumtegemea mzungu kwa kila kitu na ndio maana wana ardhi lakini wanakufa kwa njaa ila mzungu analima maua na Chai na kutengeneza profits, sio kosa lao bali mfumo uliowakuza

Tumshukuru Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kutuletea falsafa ya ujamaa na kujitegemea, point kubwa hapa ni kujitegemea

Tanzania tumekua na akili ya kufight our bettles on our own na ndio maana kuna watu Wanamshangaa Magufuli kwanini anaendesha mambo yake kivyake Vita ya Uganda tulijaribu kushirikisha dunia na Africa lakini Hakuna aliekua upande wetu, so toka kipindi hicho Tunapenda zaidi kufanya kivyetu, Nyerere alitamani Africa iwe moja na kuunganisha nchi za ukanda huu lakini walikataa so toka kipindi hicho Tanzania tupo kivyetu

Juzi Magufuli kashauri kitu cha maana sana kuhusu mikopo ya WB na IMF lakini ndo kwanza waka-sign mikopo badala kuwa na kauli moja kuishinikiza IMF na WB kuondoa riba na kupunguza marejesho katika wakati huu

Nashukuru zaidi ya wabunge wenye akili 80 huko ulaya na Marekani wamemuunga Magufuli mkono kwenye hili

Tuachane na hayo tuje kwenye dawa, haijalishi kama itakuja kukubaliwa na mabeberu au vipi lakini hii ni gesture nzuri sana sisi kama Taifa kujitegemea na kujiamini kwamba tunaweza, kijana mdogo huyu akiwa na mawazo ya Mwl. Nyerere anaweza kututoa watanzania kimasomaso



Tumpe ushirikiano

Mjinga wewe. Dawa zenu pelekeni WHO zikaguliwe ndio uje uandike uharo hapa.
 
Ninyi mlivyo hamna akili hata hiyo remedy ya limao na tangawizi hamkubuni ninyi, mpo kusubiri wazungu waumize akili kwa ajili yenu.

Hii dawa ya huyu kijana haina hayo uliyoyaongea
Sasa hivi wakenya wameteuliwa kufanyiwa majaribio ya chanjo
Akili za kitumwa ni mbaya sana
 
Yaani kwenye changamoto kama hizi ndio utaona utofauti wa viwango vya akili vya watu Toka Corona iingie ukifuatilia Ile combating reactions huko social media kati ya mataifa jirani na Tanzania utaona lipo ombwe kubwa kichizi kati ya Tanzania na mataifa jirani Watanzania walianza kubuni fasta vifaa vya kunawia, local ventilators, remedies, mambo ya kujifukiza etc

Mpaka sasa zipo zaidi ya remedies 20 watanzania wametengeneza kila zipo NIMR na nyingine NIMR

wameshazipitisha zinatumika Upande wa pili kuanzia viongozi wa serikali mpaka wananchi wa kawaida wamekaa kichawi chawi tu, wapo busy kuipakazia Tanzania na kuichafua akili zao za kuku zimezima kabisa hata kujaribu kutengeneza chochote mfanano wa dawa ya Corona

Tuwasamehe sababu tunajua they have chickens heads, au pumpkins wamejiseti tu kumtegemea mzungu kwa kila kitu na ndio maana wana ardhi lakini wanakufa kwa njaa ila mzungu analima maua na Chai na kutengeneza profits, sio kosa lao bali mfumo uliowakuza

Tumshukuru Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwa kutuletea falsafa ya ujamaa na kujitegemea, point kubwa hapa ni kujitegemea

Tanzania tumekua na akili ya kufight our bettles on our own na ndio maana kuna watu Wanamshangaa Magufuli kwanini anaendesha mambo yake kivyake Vita ya Uganda tulijaribu kushirikisha dunia na Africa lakini Hakuna aliekua upande wetu, so toka kipindi hicho Tunapenda zaidi kufanya kivyetu, Nyerere alitamani Africa iwe moja na kuunganisha nchi za ukanda huu lakini walikataa so toka kipindi hicho Tanzania tupo kivyetu

Juzi Magufuli kashauri kitu cha maana sana kuhusu mikopo ya WB na IMF lakini ndo kwanza waka-sign mikopo badala kuwa na kauli moja kuishinikiza IMF na WB kuondoa riba na kupunguza marejesho katika wakati huu

Nashukuru zaidi ya wabunge wenye akili 80 huko ulaya na Marekani wamemuunga Magufuli mkono kwenye hili

Tuachane na hayo tuje kwenye dawa, haijalishi kama itakuja kukubaliwa na mabeberu au vipi lakini hii ni gesture nzuri sana sisi kama Taifa kujitegemea na kujiamini kwamba tunaweza, kijana mdogo huyu akiwa na mawazo ya Mwl. Nyerere anaweza kututoa watanzania kimasomaso



Tumpe ushirikiano
Wale wajinga waliokuwa wanakejeli huu uzi na hatua ya Tanzania kufanyia tafiti dawa mbalimbali za mitishamba na wao wamekuja kwenye mitishamba [emoji23]
 
Back
Top Bottom