M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
HakikaTukiamka usingizini tutajua tu kama kipo bahi road, Kikuyu au mkonze
Kiwanda Cha namba E kipo Tanzania Mkoa gani maana zimejaa barabarani Hadi zinamwagika.Dodoma haipit dakika 5 hujapishana na chuma V8 inakata mitaa. Kiwanda Kipo sehemu gani hapa Dodoma?
*Tumeshindwa kabisa kuweka vipaumbele?
Huku vijana wanaambiwa wajiajiriKiwanda Cha namba E kipo Tanzania Mkoa gani maana zimejaa barabarani Hadi zinamwagika.
Wewe mkuu ni takataka kabisa! Unataka makao makuu ya serikali kusiwe vi?Dodoma haipit dakika 5 hujapishana na chuma V8 inakata mitaa. Kiwanda Kipo sehemu gani hapa Dodoma?
*Tumeshindwa kabisa kuweka vipaumbele?