Tetesi: Huenda hii ndio sababu Mzee Mwampamba alimuita mtoto wake jina " Mwisho "

Tetesi: Huenda hii ndio sababu Mzee Mwampamba alimuita mtoto wake jina " Mwisho "

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Unaweza kujiuliza how comes Professor mzima anamuita mtoto wake jina " Mwisho" ilhali jina lenyewe laonekana kuwa limebeba maana ambayo si nzuri sana ( Laweza kuwa na maana nzuri pia kwamba Mwisho wa matatizo etc )

Katika Uyahudi jina " Mwisho " maana yake ni Mungu wa Wayahudi yaani Yehova... ( Mungu wa Wayahudi ana majina mengi sana Mwisho ni moja kati ya majina yake )

Jina Mwisho katika lugha ya kiebrania ni " Omega" .

Mungu wa Wayahudi anasema " Mimi ni Alpha na Omega " yaani " Mimi ni Mwanzo na Mwisho"

Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana Mzee Mwampamba wakati anamuita mtoto wake jina Mwisho alimaanisha Omega Yani Mungu.


Huwa nawashangaaga sana Ndugu zangu Wakristo jinsi wanavyo jichanganya kiimani

Unakutana na MTU anae ji identify kama Mkristo akisema " Sasa hivi tupo nyakati za mwisho na.nyakati za mwisho hizi ndio nyakati za shetani'

Com on bro...Nyakati za mwisho ndio nyakati za Mungu kwa sababu Mungu ni Mwanzo na Mwisho.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Biblia sasa hivi tupo wakati wa Mungu na sio wakati wa Shetani...
 
Unaweza kujiuliza how comes Professor mzima anamuita mtoto wake jina " Mwisho" ilhali jina lenyewe laonekana kuwa limebeba maana ambayo si nzuri sana ( Laweza kuwa na maana nzuri pia kwamba Mwisho wa matatizo etc )

Katika Uyahudi jina " Mwisho " maana yake ni Mungu wa Wayahudi yaani Yehova... ( Mungu wa Wayahudi ana majina mengi sana Mwisho ni moja kati ya majina yake )

Jina Mwisho katika lugha ya kiebrania ni " Omega" .

Mungu wa Wayahudi anasema " Mimi ni Alpha na Omega " yaani " Mimi ni Mwanzo na Mwisho"

Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana Mzee Mwampamba wakati anamuita mtoto wake jina Mwisho alimaanisha Omega Yani Mungu.


Huwa nawashangaaga sana Ndugu zangu Wakristo jinsi wanavyo jichanganya kiimani

Unakutana na MTU anae ji identify kama Mkristo akisema " Sasa hivi tupo nyakati za mwisho na.nyakati za mwisho hizi ndio nyakati za shetani'

Com on bro...Nyakati za mwisho ndio nyakati za Mungu kwa sababu Mungu ni Mwanzo na Mwisho.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Biblia sasa hivi tupo wakati wa Mungu na sio wakati wa Shetani...
Heading na Hoja yako havina mahusiano
 
Mada mzr ila mkuu umeikatisha...mean kwamba utaendelea....soon
 
Unaweza kujiuliza how comes Professor mzima anamuita mtoto wake jina " Mwisho" ilhali jina lenyewe laonekana kuwa limebeba maana ambayo si nzuri sana ( Laweza kuwa na maana nzuri pia kwamba Mwisho wa matatizo etc )

Katika Uyahudi jina " Mwisho " maana yake ni Mungu wa Wayahudi yaani Yehova... ( Mungu wa Wayahudi ana majina mengi sana Mwisho ni moja kati ya majina yake )

Jina Mwisho katika lugha ya kiebrania ni " Omega" .

Mungu wa Wayahudi anasema " Mimi ni Alpha na Omega " yaani " Mimi ni Mwanzo na Mwisho"

Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana Mzee Mwampamba wakati anamuita mtoto wake jina Mwisho alimaanisha Omega Yani Mungu.


Huwa nawashangaaga sana Ndugu zangu Wakristo jinsi wanavyo jichanganya kiimani

Unakutana na MTU anae ji identify kama Mkristo akisema " Sasa hivi tupo nyakati za mwisho na.nyakati za mwisho hizi ndio nyakati za shetani'

Com on bro...Nyakati za mwisho ndio nyakati za Mungu kwa sababu Mungu ni Mwanzo na Mwisho.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Biblia sasa hivi tupo wakati wa Mungu na sio wakati wa Shetani...
Mungu wa mbingu na nchi,hakusema hivo!!!!
Alisema yeye ni Mwanzo na ni mwisho. Hakusema anaitwa mwanzo na mwisho.Kwa mtizamo wa biblia yako!

Huyo ni mungu wenu, aliyejifunua kwa akili zenu kadri alivo wapa uelewa. uko sahihi mkuu,

Lkn unamtanabaisha mahala pasi sahihi.
 
Karibu tuhudhurie kongamano ya kula keki ya upako
 
Unaweza kujiuliza how comes Professor mzima anamuita mtoto wake jina " Mwisho" ilhali jina lenyewe laonekana kuwa limebeba maana ambayo si nzuri sana ( Laweza kuwa na maana nzuri pia kwamba Mwisho wa matatizo etc )

Katika Uyahudi jina " Mwisho " maana yake ni Mungu wa Wayahudi yaani Yehova... ( Mungu wa Wayahudi ana majina mengi sana Mwisho ni moja kati ya majina yake )

Jina Mwisho katika lugha ya kiebrania ni " Omega" .

Mungu wa Wayahudi anasema " Mimi ni Alpha na Omega " yaani " Mimi ni Mwanzo na Mwisho"

Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa sana Mzee Mwampamba wakati anamuita mtoto wake jina Mwisho alimaanisha Omega Yani Mungu.


Huwa nawashangaaga sana Ndugu zangu Wakristo jinsi wanavyo jichanganya kiimani

Unakutana na MTU anae ji identify kama Mkristo akisema " Sasa hivi tupo nyakati za mwisho na.nyakati za mwisho hizi ndio nyakati za shetani'

Com on bro...Nyakati za mwisho ndio nyakati za Mungu kwa sababu Mungu ni Mwanzo na Mwisho.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Biblia sasa hivi tupo wakati wa Mungu na sio wakati wa Shetani...
Hilo neno Mwisho inategemea na kitu unachokizungumzia sio kila mahali lina maana hiyo unayosema wewe acha kupotosha. Mwisho kila mtu anauelewa wake usilazimishe mawazo yafanane na yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom