Huenda Liverpool ikakosa kutwaa ubingwa wa EPL msimu huu kwa Mafuriko yanayoendelea huko Uingereza

Huenda Liverpool ikakosa kutwaa ubingwa wa EPL msimu huu kwa Mafuriko yanayoendelea huko Uingereza

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuqa wanajamvi,

Mvua kubwa na kali inayoendelea kunyesha nchini Uingereza inaiweka Timu ya Liverpool pabaya na njia panda kutokutwaa ubingwa wa EPL ambayo wameisubiri miaka 30.

24927416-8019507-image-a-11_1582111012141.jpg

Mvua iyo kubwa inayoambatana na radi inanyesha kila siku nchini uingereza na kusababisha maafa na uharibifu wa miundo mbinu.

24927884-8019507-The_town_of_Upton_upon_Severn_has_been_turned_into_an_inland_isl-a-198_158212...jpg

Mkuu wa mamlaka wa hali ya hewa uingereza Sergey Shirima ametahadharisha kuna uwezekano mvua hizi zikaendelea hadi mwishoni wa mwezi wa tatu na kuleta maafa na uharibifu mkubwa wa miundo mbinu.

24929646-8019507-image-m-42_1582113961045.jpg

Tayari athari za mvua zimeshajitokeza na mkuu wa kitengo cha maafa uingereza kimetoa tahadhari kwa wananchi hali itakuwa mbaya zaidi uingereza kufunikwa na maji.

24927890-8019507-image-a-2_1582110861962.jpg

Liverpool ambayo jana walinyukwa goli mojana Atletico Madrid round ya kwanza ya Champions league wanaongoza EPL kwa point 23. Kutokana na kuwa na bahati mbaya historia inaweza ikajirudia na kuwafanya wasiwe mabingwa. Ni kuwaombea tuhizi mvua zinazoendelea uingereza zipungue.

4724.jpg
 
Mvua zikinyesha Liverpool wanapokonywa point au inakuwaje kwani? Mbona mi sielewi yani?
By thew way, hayo mafuriko yangetokea dsm tungeanza kujitukana na kujidharau kwamba hatuwezi kitu, lakini imetokea UK sioni anaelaumu miundombinu mbovu za UK. Hivi inakuwaje hadi tunakuwa na self hate kiasi hiki?
 
Mvua zikinyesha Liverpool wanapokonywa point au inakuwaje kwani? mbona mi sielewi yani?
By thew way, hayo mafuriko yangetokea dsm tungeanza kujitukana na kujidharau kwamba hatuwezi kitu.., lakini imetokea UK sioni anaelaumu miundombinu mbovu za UK..., hivi inakuwaje hadi tunakuwa na self hate kiasi hiki?
Wabongo huwa wanajidharau tu... Kuna jambo akifanya mbongo mshamba ila akilifanya mzungu ni mjanja.
 
Mvua zikinyesha Liverpool wanapokonywa point au inakuwaje kwani? mbona mi sielewi yani?
By thew way, hayo mafuriko yangetokea dsm tungeanza kujitukana na kujidharau kwamba hatuwezi kitu.., lakini imetokea UK sioni anaelaumu miundombinu mbovu za UK..., hivi inakuwaje hadi tunakuwa na self hate kiasi hiki?
Mzee kule kwa wenzetu hadi mafuriko yanatokea ujue hakuna jinsi ya kuyaepuka ila kwa kwetu uzembe upo kwa kiasi kikubwa, mfano ilikuwaje yard ya mwendokasi ikajengwa kwenye mkondo wa maji?
 
Back
Top Bottom