Huenda Makomandoo wa Ihefu FC wakawa ndiyo Watu Waaminifu na Waadilifu Tanzania nzima

Huenda Makomandoo wa Ihefu FC wakawa ndiyo Watu Waaminifu na Waadilifu Tanzania nzima

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unaambiwa tokea Jumatatu waliamua Kukesha kuulinda Uwanja Wao wa Highland Estates Mbarali na Kuwakatalia Waliowafunga wasiingie Uwanjani Kuroga na Kufukia Mauchawi yao.

Jana Jumanne Makomandoo wa Ihefu FC waliokuwa Wakiulinda Uwanja walionyeshwa Fedha ili Wawaruhusu Waganga na Wachawi Wao ( Waliofungwa Leo ) waingie lakini bado tu waliendelea Kudinda ( Kukataa ) hata 4pale walipoahidiwa Asante ya Shilingi Milioni 10 hivyo Waganga Wao wa Kienyeji kukubali Matokeo na kubakia Kuroga tu Kikawaida na kwa Kubahatisha.

Kudadadeki..... Asante sana Ihefu FC.
 
Unaambiwa tokea Jumatatu waliamua Kukesha kuulinda Uwanja Wao wa Highland Estates Mbarali na Kuwakatalia Waliowafunga wasiingie Uwanjani Kuroga na Kufukia Mauchawi yao.

Jana Jumanne Makomandoo wa Ihefu FC waliokuwa Wakiulinda Uwanja walionyeshwa Fedha ili Wawaruhusu Waganga na Wachawi Wao ( Waliofungwa Leo ) waingie lakini bado tu waliendelea Kudinda ( Kukataa ) hata 4pale walipoahidiwa Asante ya Shilingi Milioni 10 hivyo Waganga Wao wa Kienyeji kukubali Matokeo na kubakia Kuroga tu Kikawaida na kwa Kubahatisha.

Kudadadeki..... Asante sana Ihefu FC.
 
Unaambiwa tokea Jumatatu waliamua Kukesha kuulinda Uwanja Wao wa Highland Estates Mbarali na Kuwakatalia Waliowafunga wasiingie Uwanjani Kuroga na Kufukia Mauchawi yao.

Jana Jumanne Makomandoo wa Ihefu FC waliokuwa Wakiulinda Uwanja walionyeshwa Fedha ili Wawaruhusu Waganga na Wachawi Wao ( Waliofungwa Leo ) waingie lakini bado tu waliendelea Kudinda ( Kukataa ) hata 4pale walipoahidiwa Asante ya Shilingi Milioni 10 hivyo Waganga Wao wa Kienyeji kukubali Matokeo na kubakia Kuroga tu Kikawaida na kwa Kubahatisha.

Kudadadeki..... Asante sana Ihefu FC.
kwa leo kila kiti kitasemwa
 
Mambo ya ulozi na kulinda uwanja yanawahusu madunduka, Yanga hawana swaga hizo, Yanga inaendeshwa ki sayansi.
 
Unaambiwa tokea Jumatatu waliamua Kukesha kuulinda Uwanja Wao wa Highland Estates Mbarali na Kuwakatalia Waliowafunga wasiingie Uwanjani Kuroga na Kufukia Mauchawi yao.

Jana Jumanne Makomandoo wa Ihefu FC waliokuwa Wakiulinda Uwanja walionyeshwa Fedha ili Wawaruhusu Waganga na Wachawi Wao ( Waliofungwa Leo ) waingie lakini bado tu waliendelea Kudinda ( Kukataa ) hata 4pale walipoahidiwa Asante ya Shilingi Milioni 10 hivyo Waganga Wao wa Kienyeji kukubali Matokeo na kubakia Kuroga tu Kikawaida na kwa Kubahatisha.

Kudadadeki..... Asante sana Ihefu FC.
🚮
 
Back
Top Bottom