Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
You never know with MwiguluHii Singida big stars ina mkono wa mtu anayelazimisha tozo haramu kwa nguvu.
Huenda ni janja yake ili anunue wachezaji wa kibrazili timu nzima.
View attachment 2342476
Tatizo ya hizi allegation ni kwamba hamna uhakika nazo. Ili kumbana tafuten docs zinazo link yeye na hizo maliHii Singida big stars ina mkono wa mtu anayelazimisha tozo haramu kwa nguvu.
Huenda ni janja yake ili anunue wachezaji wa kibrazili timu nzima.
View attachment 2342476
Circumstantial evidenceTatizo ya hizi allegation ni kwamba hamna uhakika nazo. Ili kumbana tafuten docs zinazo link yeye na hizo mali
Kombe kwenye picha,,,,ha haaaNasikia benchi la ufundi Singapore Big Stars wanamleta Ronaldinho ili kuweka sawa bunduki zake zile tatu za kibrazil! Ni timu yetu pia, utopolo fc timu B! Makolo FC mtakoma kombe mtaliona kwenye picha, point zenu 12 tunazo, mkipona droo kwa Yanga mkienda Singapore (Singida) hamtoki!