Huenda si tetesi tena, tutarajie sheria mpya za uchaguzi zenye lengo la kumlinda mtu wao

Huenda si tetesi tena, tutarajie sheria mpya za uchaguzi zenye lengo la kumlinda mtu wao

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tutarajie kutangaziwa sheria mpya za uchaguzi, sheria hizo zitatumika wakati wa kampeni ili kuwalinda wasioweza kupambana jukwaani.

Kulikoni uchaguzi ujao utungiwe sheria mpya, ni nani anatakiwa kulindwa wakati wote ni wanasiasa waliobobea na ni wagombea wa nafasi ya juu kabisa ambapo sisi wananchi tunatakiwa tuuone uwezo wao wenye kiwango cha juu kabisa bila kulindwa na anaoandaa nao uchaguzi.
 
Wanamhofia Lissu akichaguliwa atakavyo msema bi Mkubwa Ili akijaribu tuu wamfungulie kesi kama zile za Magu na Sirro.
 
Wanamhofia Lissu akichaguliwa atakavyo msema bi Mkubwa Ili akijaribu tuu wamfungulie kesi kama zile za Magu na Sirro.
Katika hali ya uoga watawala hujitengenezea sheria za kujilinda dhidi ya wabaya wao watawaliwa ambao wanasahau kuwa ndio waliowaweka madarakani!
 
Tutarajie kutangaziwa sheria mpya za uchaguzi, sheria hizo zitatumika wakati wa kampeni ili kuwalinda wasioweza kupambana jukwaani.

Kulikoni uchaguzi ujao utungiwe sheria mpya, ni nani anatakiwa kulindwa wakati wote ni wanasiasa waliobobea na ni wagombea wa nafasi ya juu kabisa ambapo sisi wananchi tunatakiwa tuuone uwezo wao wenye kiwango cha juu kabisa bila kulindwa na anaoandaa nao uchaguzi.
wanajua hawezi kutoboa huyu mwizi wa mali za umma
 
Back
Top Bottom