Huenda taifa la Japan likapotea ("Extinction") kutokana na watu kuacha kuzaliana

Huenda taifa la Japan likapotea ("Extinction") kutokana na watu kuacha kuzaliana

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Watafiti wanasema huenda Japan likawa taifa la kwanza kupotea duniani kutokana na watu wake kuacha kabisa kuzaliana.

Screenshot_2025-02-28-07-47-22-507_com.twitter.android-edit.jpg


Swali la msingi: Ni kwa nini taifa au watu wanavyozidi kuwa matajiri ndivyo wanaogopa kuwa na watoto wengi au kuwa na watoto kabisa?
 
Watafiti wanasema huenda Japan likawa taifa la kwanza kupotea duniani kutokana na watu wake kuacha kabisa kuzaliana.

View attachment 3252728

Swali la msingi: Ni kwa nini taifa au watu wanavyozidi kuwa matajiri ndivyo wanaogopa kuwa na watoto wengi au kuwa na watoto kabisa?
Utajiri una tabia ya uchoyo na ubinafsi,wacha waishe wageni warithi utajiri wao.
 
Back
Top Bottom