Huenda taifa la Japan likapotea ("Extinction") kutokana na watu kuacha kuzaliana

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Watafiti wanasema huenda Japan likawa taifa la kwanza kupotea duniani kutokana na watu wake kuacha kabisa kuzaliana.



Swali la msingi: Ni kwa nini taifa au watu wanavyozidi kuwa matajiri ndivyo wanaogopa kuwa na watoto wengi au kuwa na watoto kabisa?
 
Utajiri una tabia ya uchoyo na ubinafsi,wacha waishe wageni warithi utajiri wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…