Ila kiukweli muda uliotolewa ni mdogo sana,, mitihani inatakiwa maandalizi ya kutosha.. Kuna wanafunzi wanasoma mbali na mazingira ya kwao.. So inabid watumie mda kusafiri hadi shule.. Sasa kabla hata ya kuzoea tena mazingira ya Shule mara paaap pepa hilo..
Poleni sana form 6 mkapambane tu